VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
- Thread starter
- #21
Mkuu kilichoniliza ni hiki.Kwanza nani kawapa nambari yangu? Kwanini wafanye mchezo kama huo? Nioneni mjinga,mzandiki,muongo,mwoga na kadhalika lakini huo ndio ukweli. Ni humu humu jamvini nilipotukanwa kwa kusema kuwa Madaktari wangegoma tena.Yalipotimia sikuombwa msamaha. Ngoja niwe msahimilivu tu Wakuu wangu...We jamaa hebu acha fitna..haiwezekani uifute hiyo namba. Kwa azingira yetu tulivyo tunafowadi SMS zenye muelelekeo km huu kwa ndugu jamaa na marafiki iweje wewe ulie kisha uifute. Sasa kama umeifuta hatuna haja ya kukuamini..