Meseji hii ya masista du

Nashangaa mie sijawahi ona mwanaume anayesusa.

umeona eee mie wangu namwaga kila cku na mitusi juu.
Hajawahi kususa hata cku moja.
Tena ananiambiaga nimemic msg zako za kunimwaga life goes on.
Ndo tulivo jamani mtusamehe na mjifunze kuishi na sisi.
 
Mwanaume hasusi hata siku moja. Akijipendekeza mkwangue, msimamo pale pale.
Sio kususa, yani kwamba ukiwa mwanaume unatakiwa uwe na ratiba zako na mambo yako, sio unapelekeshwa tu kisa K.
 
Umenikumbusha mbali, nilikuwa na duu mmoja wakati wa ujana wangu, alishanichosha nikawa natafuta namna ya kummwaga. Sasa si alaniletea hizo! Nikapiga chini mazima,
 
Hata katika kutenda mabaya pia busara hutumika,umesema vema mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…