Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Kama umekosea jishusheNgoja nimcheki now![]()
Kama umekosea jishusheNgoja nimcheki now![]()
Achana na nchi sio muhimu wewe ndio wamuhimu sanaHuyu ndugu yangu Alishaharibu mapema sana 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Jenga nchi kwanza. Le platinum
Sina kosa walaqhiKama umekosea jishushe
Basi yataishaSina kosa walaqhi
Napenda unavyompa matumaini hewa. 🤣Sio lazima ye akucheck vin ata wewe unaweza muanza
🤣🤣Na anakua(ga) wa moto mkali. Kweli ni futa lako.Aikkoo mbali na utawala wenu kapuku republicLee alivurugwa yaani wanaume wakiingia makapuku wakianza kuchart na mimi anawafukuza
nikiwa mmu nikikutana nao wananiambia shunie hatuji tena mwanaume wako mkali sana kaka yako nae alikuwa mbishi wanabishana vibaya mno
Utaharibikiwa kijanaAchana na nchi sio muhimu wewe ndio wamuhimu sana
Nionee hata huruma😭Utaharibikiwa kijana
My wii usimfanyie hivi kama kuna chochote amekukosea msamehe bwanah me najisikia vibaya sanaNapenda unavyompa matumaini hewa.
Na anakua(ga) wa moto mkali. Kweli ni futa lako.Aikkoo mbali na utawala wenu kapuku republic
Yataisha achana na huku jf nenda kamcheck kwenye simuNionee hata huruma![]()
🤣🤣🤣 Huu ni ucheshi my wiii huyu tajiri wetu wa kigamboni muda wote yupo location, camera zinammulika action na cut zimetawala.My wii usimfanyie hivi kama kuna chochote amekukosea msamehe bwanah me najisikia vibaya sana
Ndo huyo mkuu wanasema ameibwa kutoka kwako?Huyo hata kunicheki kwenye namba yangu ya yas kagoma
Huu ni ucheshi my wiii huyu tajiri wetu wa kigamboni muda wote yupo location, camera zinammulika action na cut zimetawala.


Msamehe tu my wii🤣🤣🤣 Wii we mwenyewe waelewa hakuna wakuibwa humu, ila Ma shareholder wanaongeza hisia za umiliki tu ..kuwa highest shareholder.🤣🤣
Wii we mwenyewe waelewa hakuna wakuibwa humu, ila Ma shareholder wanaongeza hisia za umiliki tu ..kuwa highest shareholder.
![]()



My wii utamuua mtoto wa mwanamke mwenzio🤔🤣🤣🤣 Wii we mwenyewe waelewa hakuna wakuibwa humu, ila Ma shareholder wanaongeza hisia za umiliki tu ..kuwa highest shareholder.🤣🤣
🤣🤣 Wii unayako sasa sio kwa hizi kampeni, Huyu anamuda wake. Bado anapanga karata zake. Usipojishikilia vizuri utamtaka mbona🤣🤣My wii utamuua mtoto wa mwanamke mwenzio
Lelo naamini unanisoma ukiwa sober 🤣🤣
Hahaha badae kidogo nitajivuta hapa nipate bia huku nikipitia kajarida hapa chumbani tu🤣Lelo naamini unanisoma ukiwa sober 🤣🤣
Ninashangaa tajiri wa kigamboni anakataliwaje na mapesa yake yote...