Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Sio lazima ye akucheck vin ata wewe unaweza muanza
Napenda unavyompa matumaini hewa. 🤣
[emoji1787] Lee alivurugwa yaani wanaume wakiingia makapuku wakianza kuchart na mimi anawafukuza [emoji1787][emoji1787] nikiwa mmu nikikutana nao wananiambia shunie hatuji tena mwanaume wako mkali sana kaka yako nae alikuwa mbishi wanabishana vibaya mno
🤣🤣Na anakua(ga) wa moto mkali. Kweli ni futa lako.Aikkoo mbali na utawala wenu kapuku republic
 
My wii usimfanyie hivi kama kuna chochote amekukosea msamehe bwanah me najisikia vibaya sana
🤣🤣🤣 Huu ni ucheshi my wiii huyu tajiri wetu wa kigamboni muda wote yupo location, camera zinammulika action na cut zimetawala.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wii we mwenyewe waelewa hakuna wakuibwa humu, ila Ma shareholder wanaongeza hisia za umiliki tu ..kuwa highest shareholder.[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] My wii utamuua mtoto wa mwanamke mwenzio
 
Back
Top Bottom