ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
Umekariri diet lazima mtu ale makabichi!Basi we bado sana.
Mimi wali nyama vijiko 2 na uji wa mtoto nitapungua
Umekariri diet lazima mtu ale makabichi!Basi we bado sana.
Diet sio kujinyima ni kubadili vyakula. Ukijinyima sana kuna siku utashikwa na tamaa utaanza kubugia vitu.Umekariri diet lazima mtu ale makabichi!
Mimi wali nyama vijiko 2 na uji wa mtoto nitapungua
Tuone picha😂Njoo tule samaki tasi😎
Mimi nisipokula ugali naona sijashiba, bora nile hata matonge 2Diet sio kujinyima ni kubadili vyakula. Ukijinyima sana kuna siku utashikwa na tamaa utaanza kubugia vitu.
Na sio lazima makabichi, kuna vitu vingi vitamu visivyonenepesha mfano samaki, mayai nk.
hahaa unashindwa kumbembeleza shemeji?Diet bila mpunga haiwezekani.
Kwanini usiniambie "umeshindwa kufanya kazi kwa bidii kupata pesa"hahaa unashindwa kumbembeleza shemeji?
Wewe una akili sana!! Shemeji hatoteseka.Kwanini usiniambie "umeshindwa kufanya kazi kwa bidii kupata pesa"
Mmh! Kama diet ndo hio basi mimi siitaki, usiku napika pilau na juice yangu ya embe utanitaka! Ila sili sana vijiko vichache tu😂Wewe una akili sana!! Shemeji hatoteseka.
Unaweza ukala vizuri kwa pesa ndogo. Chagua vyakula vya bei ndogo visivyonenepesha na uvipike vizuri sio kukaanga kaanga tu.
BAadae huu sio Uzi wa msosi😎Tuone picha😂
Vitu vitamu unavitengea siku moja kwenye wiki unavila tu. Usipokula vizuri hata ukipiga mazoezi hutoboi...Mmh! Kama diet ndo hio basi mimi siitaki, usiku napika pilau na juice yangu ya embe utanitaka! Ila sili sana vijiko vichache tu😂
Shida zote za nini? Mchawi liposuction tuVitu vitamu unavitengea siku moja kwenye wiki unavila tu. Usipokula vizuri hata ukipiga mazoezi hutoboi...
Nitapokea Salam ukijaza departure form makapuku.Wiii msalimie Certified Hater
DaaahNitapokea Salam ukijaza departure form makapuku.



usinifanyie hivyo nimekumiss sanaaa na njmefurahi kukuona


Ila my wiiiiNimekumiss pia Shunie ...yule muhuni wako umemchinja? Hama ile mitaa yako ya uswahilini bwana, 😁Daaahusinifanyie hivyo nimekumiss sanaaa na njmefurahi kukuona
Take cover.. Nitakupiga sehemu mbaya.Kama haupo vile. 🔥🔥& Move.
Aikoo! Bora umnyonge sasa, Kuliko aachie madaraka makapuku republic Shunie
Ndio mana, fake anasema kweli madaraka matamu.. hutaki achia madaraka kuleDaaah muhuni wanguile mitaa kuhama mbona ngumu sana jamani