Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
ila wewe unavopinga ndoa sasa😂😂😂 hua naona comments zakoMpaka apatikane wa kukuoa nicheze nyimbo ya Mario kabla haijachuja 😹😹😹
ila wewe unavopinga ndoa sasa😂😂😂 hua naona comments zakoMpaka apatikane wa kukuoa nicheze nyimbo ya Mario kabla haijachuja 😹😹😹
Polee sana Odo 😂😁 njoo huku kigamboni basiNashindwaga kuelewa na kuzoea hili sijui ni baridi au ni upepo ila upepo wa Dodoma ni hatari unanyanyua Hadi mchanga unakuchapa nao 😪
Hypocrite 😕Miss you alotoooo
tz kubwa sana kijana,, kwan wewe ni mgogo ,,kama sio kwenu,,rudi kijijin kwenu😂😂 overMiss R mwenzako hali mbaya au mtafurahi nikibaki dodoma huku
🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Niko poa kabisaKwema dada yangu upo gudi ?
Ok poa wasalimie sana mwanza hapoNiko poa kabisa
Umeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassaPolee sana Odo 😂😁 njoo huku kigamboni basi
😂😂 Mashangazi yamekuacha yote totooJaman jamn...
Kwa kweli haya sina mengi...
Ila napitia hali ya ajabu ujue wee assume nikizingua tuu nabaki huku na palivo pakame weeeh
Sawa ntawasalimiaOk poa wasalimie sana mwanza hapo
wapi my 😂😂😂Alafu si umeona kule.... Nime kutag
Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi 😂😁😁 kavunja Tambo la laki 4😭😭Umeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassa
Wananiita president wa mbagala nzimaaaaa..Poor Brain Mkuu wa mkoa wa mbagala to Chamazi
Leo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hojaWananiita president wa mbagala nzimaaaaa..
Mbagala kubwa kuliko temeke
Natafuta sehemu ya field kule...wapi my 😂😂😂
Mchaga bahili JF nzima yule nguvu za kuvunja simu anatoa wapi? Ameanza lini kuwa na wivu?Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi 😂😁😁 kavunja Tambo la laki 4😭
Ulipita maeneo gani mkuu rang 6/2 auLeo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hoja
aaaah haya mabadiliko yetu yanawachanganya sana ujue 😂😂😂😂😹😹😹 Wanaume wajinga sana wanahisi ndoa km ni kitu special sana.!!
Kwamba mwanamke anaiwaza ndoa muda wote, kumbe wenzao tunawaza vitu vingine kabisa.