Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

😂😂😂 Kwann ulimu ignore??
Mimi nilijua wewe kichwa panzi humshindwi kumchachua.!! Kumbe na wewe umemshindwa 😹😹

Lethergo twende kwa Mwamposa utolewe majini kila mdada anakublock utajioa mwenyewe shauri yako.!
basi ukimalizana nae njoo kwangu tuendelee,,huu uchonganishi sasa🤣
 
basi ukimalizana nae njoo kwangu tuendelee,,huu uchonganishi sasa🤣
Huyo jamaa ndimu sana, namuona anavyowakaanga 😂😂😂

Mpaka na wewe hutaki hata kumuona umemblock basi kweli ni kichefuchefu.
 
Huyo jamaa ndimu sana, namuona anavyowakaanga 😂😂😂

Mpaka na wewe hutaki hata kumuona umemblock basi kweli ni kichefuchefu.
🤣🤣🤣Nna hasira za haraka mimi hujui tu,,so nkaona wacha nikimbie
 
🤣🤣🤣Nna hasira za haraka mimi hujui tu,,so nkaona wacha nikimbie
Toka lini? 😹😹😹
Wewe sema huyo jamaa wa sayari nyingine humuwezi ni kichefuchefu haswaah.!!

Akikomalia jambo lake humshindi, anaweza kukuaminisha gari ni treni na ukakubali kumpa ushindi wa mezani.!!
 
Toka lini? 😹😹😹
Wewe sema huyo jamaa wa sayari nyingine humuwezi ni kichefuchefu haswaah.!!

Akikomalia jambo lake humshindi, anaweza kukuaminisha gari ni treni na ukakubali kumpa ushindi wa mezani.!!
iyo ni kwako,,ila sipendi kujibizana humu kabisa 😂😂🙌🏾
 
Dada dada daaaaaadaaaaaa🙌🏾😂😂😂😂wacha achukue kombe,, hupenda mitusi mikubwa mikubwa tu
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka mpk machozi wifi.
Emu mtoe kabatini tulale naye kiulalo ulalo, sako kwa bako.
Hatuwezi kushindwa na mtu km yule, hatujui watu wa Southern Highland vizuri.!!
Kwanza kabila letu kwa ubishi tunachukua tuzo
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka mpk machozi wifi.
Emu mtoe kabatini tulale naye kiulalo ulalo, sako kwa bako.
Hatuwezi kushindwa na mtu km yule, hatujui watu wa Southern Highland vizuri.!!
Kwanza kabila letu kwa ubishi tunachukua tuzo
sitaki kula ban shoga😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾nna maneno ya shombo
 
Back
Top Bottom