Njoo hata na malapa na kaptula....ukivunja kabati....utakuwa umekosea kiwanja....Yes yes lazima tuongozane nitavaa ile suti kali coatwhite na trousers
black kiatu kile black cha mng'ao... Wewe vaa ile dress
red iliyo wazi mgongoni, heels
ya silver.... Tutanoga





.....usitukimbieKhaaaa!!!!!Tusubiri mlangoni utupokee, andaa VIP seat ya kwetu,kupendeza Rowin na mimi ni jadi yetu moiga picha asituache popote tutakapopita
Misosi na vinywaji.Kwa maana hiyo mtu chake kaandaa nini sasa, tusije fika huko tukapewa maji tu
Hizo mbinu kali umezitoa wapiMisosi na vinywaji.
Ukipendeza sana utashindwa kujiachia
Tunakubaliana jiraniHuu uzi umekimbia sana hata sikuona,nakukubali jirani
Kaniambia mimi ni jirani yake jirani..mpokee tu jirani![]()
![]()
Huyo jirani umemtoa wapi
Nimempokea kwa mikono miwiliKaniambia mimi ni jirani yake jirani..mpokee tu jirani