Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
😂😂😂😂 ulinichekesha raraa alivyosema sio mguu wa depal huu!! Ukajikana mara tatu km Petro alivyomkana Yesu dah!!Wala hata
😂😂😂😂 ulinichekesha raraa alivyosema sio mguu wa depal huu!! Ukajikana mara tatu km Petro alivyomkana Yesu dah!!Wala hata
😂😂😂😂 Wapambe mko wima wimaBasi hakikisha unatimiza ahadi🤣🤣🤣.
😂😂😂😂 Nkamu unayaweza khaaaaa!!Sijapenda
Ulishawahi katiza mpira?
Heri 1st ikupite, siyo 2nd half inayoamua mshindi
😂😂😂😂😂 Leo dada umenikalia kooni jamani!! Unataka nini lakini??Lamomy mdogo wangu na kwanini simu aifoni yaani uliwaza nini![]()
Nilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🤣🤣 jioni nikawaita😂😂😂 ulinichekesha raraa alivyosema sio mguu wa depal huu!! Ukajikana mara tatu km Petro alivyomkana Yesu dah!!
Kwakifupi ni kwamba😂😂😂😂😂 Leo dada umenikalia kooni jamani!! Unataka nini lakini??
😂😂😂😂 Ila nilicheka sana janaNilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🤣🤣 jioni nikawaita
Nakuja huku nakushangaa unaihadithia km ni umbea flani heavy, nikaona nikujibu
😂😂😂😂 Mweh jamani yashapitaKwakifupi ni kwamba
Uliushangaza ulimwengu 🤣🤣🤣
Leo dada umenikalia kooni jamani!! Unataka nini lakini??
View attachment 2926958
Mdogo wangu sababu nakupenda sanaaifoni sio kitu ya kushindwa kujinunulia mwenyewe najiuliza uliwaza niniiii
ila hiyo sio aifone 12 pro
View attachment 2926958
Mdogo wangu sababu nakupenda sanaaifoni sio kitu ya kushindwa kujinunulia mwenyewe najiuliza uliwaza niniiii
ila hiyo sio aifone 12 pro
Nakazia![]()
Hapo ni 13 pro/ 14 pro.. sbb naiona fupi haina urefu wa PM
Ma PM mabaya
Ule urefu na uzito

hamna ni 14 promax me napenda kubwa kubwa sijui kwa sababu ni mshangazi picha ya mwanzo ilijikata
Tusio na Macho matatu tunapita kinyooonge
Wacha tulete selfie za Itel
Mtatukoma![]()
Burifooo 😍😍hamna ni 14 promax me napenda kubwa kubwa sijui kwa sababu ni mshangazi picha ya mwanzo ilijikata View attachment 2926966
Najua mnatanianaHamna kipenzi pita unavyoweza tu tunataniana tu hapa
Usifute
😂😂😂 asiyekuwepo na lake halipo mahi
Burifooo![]()
Ah nilikuwaga na 12 PM
Niliitumia mwezi tu nikaenda kuibadili
Kubwa sana aisee![]()