Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
That's why I sip my alcohol
I don't wanna reason bad things no more
I don't wanna go back to where I dey before
Make nobody stress me, no disturb me jo jo jooo

Mimi nina usingiziโ€ฆ hata saa 1 me nalala,,
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Imagine nilikuwa naimba hako kawimbo wakati nakuandikia hapo.!!

Unakumbuka zile enzi nakesha usiku kucha halafu asubuhi naingia kwenye meeting..?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka mods wanaamua kuwa pembeni kuwa wafatiliaji
Na wanapenda kweli mods kufatilia mpambano halafu baadae wanawalamba ban ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wee nani asiyependa umbea hapa tz?? Magu mwenyewe alikuwa anafatilia shilawadu na simu alikuwa anawapigia kina Soudy Brown yuko live anafatilia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Na wanapenda kweli mods kufatilia mpambano halafu baadae wanawalamba ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee nani asiyependa umbea hapa tz?? Magu mwenyewe alikuwa anafatilia shilawadu na simu alikuwa anawapigia kina Soudy Brown yuko live anafatilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Imagine nilikuwa naimba hako kawimbo wakati nakuandikia hapo.!!

Unakumbuka zile enzi nakesha usiku kucha halafu asubuhi naingia kwenye meeting..?
Kwenye upande wa kuwa popo sikukaribii hata kidogo ๐Ÿคฃ
 
Yaani ukijichanganya PM imekula kwako, ashukuriwe Mungu anayeniongoza kuhusu kujibu PM๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Pm ukitaka uishi kwa amani usiwaruhusu wenye id za kiume wakuzoee, wale ni wajinga mnaweza mkaongea vzr mwanzoni, baadae akakutongoza ukamkataa, anakuja na id nyingine kukuchamba na screenshot juu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Na km ulimuomba afu tatu umekwishaaaa mahi diha ๐Ÿคฃ
 
Pm ukitaka uishi kwa amani usiwaruhusu wenye id za kiume wakuzoee, wale ni wajinga mnaweza mkaongea vzr mwanzoni, baadae akakutongoza ukamkataa, anakuja na id nyingine kukuchamba na screenshot juu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Na km ulimuomba afu tatu umekwishaaaa mahi diha ๐Ÿคฃ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kabisa!
 
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
kwa kweli ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† ila nyie mlitisha. Haikutegemewa. Ila mliacha somo kubwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mm nililielewa sana lile somo
 
Yaani unakuta mpambano mkali halafu huelewi umeanzia wapi. Ila mpambano wa Lamomy na udugu wake nilihisi utatokea tangu siku ile kwenye uzi wa smart Ila nikakaa kimya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Tatizo mimi bana sipendi unafiki, napenda mtu akitaka kunizingua aje front na mu id wake OG
Hii ya kuibuka na nyingine ndio sipendi na nikijua nakupasha upashike
 
Yaani unakuta mpambano mkali halafu huelewi umeanzia wapi. Ila mpambano wa Lamomy na udugu wake nilihisi utatokea tangu siku ile kwenye uzi wa smart Ila nikakaa kimya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwanini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ mimi sikutegemea ๐Ÿ˜ญ
 
kwa kweli ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† ila nyie mlitisha. Haikutegemewa. Ila mliacha somo kubwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mm nililielewa sana lile somo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Sehemu yenye fake idโ€™s usitegemee kupata rafiki wa kweli..!!
Humu rafiki yako akiogopa kukwambia ukweli anakwambia kwa id nyingine sasa ndio nini??
Halafu urafiki wa humu ni wa kunafikiana sana!! Ukiona siri zako nyingi zinatoka bila kujua ujue rafiki yako anazitoa.
Sema mimi nikimpenda mtu nampenda kweli sio kinafiki, ila akizingua ndio sielewiii!!!
 
Back
Top Bottom