Golden felician
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 216
- 36
Magigo yangu yametoboka yote mawili kulia na kushoto..na siwezi kutafuna vizuri.sijui nifanyeje na sitaki kuyatoa sababu nasikia ukitoa jino kwa mtu mzima halioti tena.naomba msaada nifanyeje sababu yanauma sana hukila chakula cha moto sana au maji ya baridi