Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Mengi siyo mnafiki, kwa sababu alitoa shutuma zake mbele ya wananchi, na yuko kwenye record kimaandishi, sauti na picha za luninga.
Well said niko nyuma yako 100%How can the government investigate itself? Mnacheza nyinyi. Hapa hakuna lolote zaidi ya sarakasi na mazingaombwe.
Halafu malumbano ya hawa wawili sidhani kama yanaihusu serikali. Wao waachwe wapakane kwenye vyombo vya habari na mwishowe wataacha wenyewe.
Kinachoniogopesha tu ni kwamba malumbano ya hawa watu yana divert attention kabisa kutoka mafisadi nyangumi na papa wengine kama Li Mkapa na lile Li Mbuna, Mi Chenge..Mi Mahalu na mingineyo.
Upuuzi mtupu unaoendelea hapa.
Doh mpaka sasa hatuna au tushapata?Serikali gani unayoiongelea kaka? Tanzania ceased to have a government since December 2005