weka pichaJamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
Mzee Mengi nae ni mwana siasa?
Kanzu + baraghashia bila ndevu kama za OBL au SS![]()
Hamadi wala haipendezi
Namuona Mengi hapo anaabudu kama Muislam na si Mkristo tena!!!