TBC inapomfuata mfanyakazi mmoja na kumshawishi ajiunge nayo, maana yake hawatamfanyia interview. Je, kumuajiri mtu bila usaili sio ukiukwaji wa taratibu za kuajiri watumishi serikalini? Naombeni ufafanuzi.
Hiyo inaitwa "head hunt" na inaruhusiwa kutegemeana na kanuni za kazi za taasisi au shirika husika.
On the other hand wafanyakazi wanaondoka sehemu kama maslahi hayaeleweki na muda mrefu wafanyakazi wa IPP wamekua wakilalamika kuhusu maslahi bila mafanikio. kumbuka kuna mdada fulani alifariki akiwa amefanya kazi ITV/Radio1 kwa muda mrefu lakini hakupata mafao yake!
so its just normal labour turnover phenomena. hakuna hujuma wala nini.