getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,824
Nimeshtushwa na weredi wenu na taaluma yenu katika kuwahudumia wateja wenu. Na nikawaza hapa ni njaa inawasukuma au ni kiu ya kupata wateja bila kujali.
Kibanda kilichowekewa umeme ni si salama kwa wateja wanaozunguka sabbu kimeezekwa kwa bati na kujengwa kwa bati nyaya zenu ziko uchi kati viungo.lakini bado mmempa umeme sabbu ni Afisa Afya wa wilaya.
Karibu na Nguzo upande wa juu kuna flemu hazina umeme tangu 2017.
Sabbu mmedai zinahitajika tsh 400000.
Kuvuta umeme kutoka nguzo mama je hii ndiyo taaluma yenu?
Hili eneo ni kibaha kwa Mathias Njia ya Nyumbu.
Kibanda kilichowekewa umeme ni si salama kwa wateja wanaozunguka sabbu kimeezekwa kwa bati na kujengwa kwa bati nyaya zenu ziko uchi kati viungo.lakini bado mmempa umeme sabbu ni Afisa Afya wa wilaya.
Karibu na Nguzo upande wa juu kuna flemu hazina umeme tangu 2017.
Sabbu mmedai zinahitajika tsh 400000.
Kuvuta umeme kutoka nguzo mama je hii ndiyo taaluma yenu?
Hili eneo ni kibaha kwa Mathias Njia ya Nyumbu.