Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,121
- 165,966
Scriptures on the wall.Mene, mene, tekel, parsin, is an Aramaic phrase found in chapter five of the Book of Daniel, the story of Belshazzar and the handwriting on the wall. (This is where we get the colloquial phrase “writing on the wall”.) View attachment 1471828
Jr[emoji769]
Yeye asema nawe kihelehele punguza utakuja unguzwa..😅🏃🏃🙏Sijui
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23] umeuaKwenye corona: Mungu ni kitu gani? Yani italia na Saudia kulipoanzia dini hajamfuatisha Mungu sembuse tz?!
Kwenye uchaguzi wa oktoba: Mungu ndio kila kitu na maandiko yananukuliwa!
Hahahaa... Hizi ni dalili za homa ya kipigo.
Us post election incidents ila kiroho hiyo ni kama laana duh
Hii ni Marekani 👍😀😀*MENE*, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.
*TEKELI*,umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
*PERESI*, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.
Jr[emoji769]
Me'ne Me'ne te'kel na par"sin
Hahahhaha.. Hadi oktoba mbona mtasoma bible yote.Mene, mene, tekel, parsin, is an Aramaic phrase found in chapter five of the Book of Daniel, the story of Belshazzar and the handwriting on the wall. (This is where we get the colloquial phrase “writing on the wall”.) View attachment 1471828
Jr[emoji769]
👏👏👏👏👊👍Umepata
J
Kasome maandikoLugha gani hiyo iliyotumika hapo.
Kweli... Mambo ya juma na uledi hayoHaya ni mapokeo tu,lakini haikutokea kama hivyo bali ni siasa za akina sanwel,
Waamed hawakulenga babel tu,,walijipanua kote mpaka asia,hicho kisa ni cha kubuni.
Kusoma Bible yote sio jambo la miezi 3 inahitaji miaka minne kamili kuweza kuisoma yote katika uhalisia wake....Hahahhaha.. Hadi oktoba mbona mtasoma bible yote.