kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,099
Hapana mimi wa hivi sipendingoja tuwaite waseme kama ndio ndoto yao et To yeye Binti Sayuni03 SweetyCandy Anastasia21 ndoto yenu ni kumiliki wanaume wenye wako kama huyo kwenye picha?
Hapana mimi wa hivi sipendingoja tuwaite waseme kama ndio ndoto yao et To yeye Binti Sayuni03 SweetyCandy Anastasia21 ndoto yenu ni kumiliki wanaume wenye wako kama huyo kwenye picha?
Toa jibu Bibie ,unanichanganya mimi huku ujue,nataka nijue msimamo wako mapemaa.Aisee,hii ni hatari sana
AfadhaliHapana mimi wa hivi sipendi
Eh una ndevu ivyo sio kufuga chawa Kwa kidevu 😹😹😹ngoja tuwaite waseme kama ndio ndoto yao et To yeye Binti Sayuni03 SweetyCandy Anastasia21 ndoto yenu ni kumiliki wanaume wenye wako kama huyo kwenye picha?
kwahiyo mwenye ndevu za hivyo amepata kibali kwako?Eh una ndevu ivyo sio kufuga chawa Kwa kidevu 😹😹😹
Hana pesa kwanzakwahiyo mwenye ndevu za hivyo amepata kibali kwako?
Hapana kwa kweli,mi mwanaume mweusi ndiyo matamanio yangu sikuzoteToa jibu Bibie ,unanichanganya mimi huku ujue,nataka nijue msimamo wako mapemaa.
Kabeba hali ya hewa yote Tz sijui tutavuta ninifunguka mkuu kabeba nini na nini, kiasi kwamba akija hakuna tuta utaweka
AsanteeHapana kwa kweli,mi mwanaume mweusi ndiyo matamanio yangu sikuzote
Kidogo kidogo naanza kumuelewa PM kuwa hawa Gen. Z wakimaliza chuo waende tu VETA kwa kweli maana post kama hizi zina-add value ipi kwa nchi iliyozorota kiuchumi namna hii?Ndoto ya kila wanawake hivi kwa nini?.
View attachment 3274981
Kweli, kina FaizaFoxy wakiona njemba kama hizi wanapagawa sanaNdoto ya kila wanawake hivi kwa nini?.
View attachment 3274981
sasa pesa zake we za nini?Hana pesa kwanza
M ndevu zake za nnsasa pesa zake we za nini?
ooh kumbe rangi imekuchanganya piaKabeba hali ya hewa yote Tz sijui tutavuta nini
si ndio kivutio, kwani hela wewe huna mpaka zikuvute kwake?M ndevu zake za nn
ukiwa na ndevu na pesa ndo kivutio mtu unakuaje na ndevu huna pesa yaan Ata izo ndevu hazipew matunzo that's my point of viewsi ndio kivutio, kwani hela wewe huna mpaka zikuvute kwake?
ooh kumbe, bora nifuge ng'ombe tuHata uelewi
ukiwa na ndevu na pesa ndo kivutio mtu unakuaje na ndevu huna pesa yaan Ata izo ndevu hazipew matunzo that's my point of view