wakuu naomba mwenye kujua perfume nzuri ya kiume ya budget ya Tsh. 30000.. naomba kujua jina
zenye ladha ya matunda, ugoro nk nk nk.So ni vigumu nionavyo kukushauri bila kujua ladha yako ni nini?
mmmh!!yaani nitembee nikinuka ugoro barabarani jamani!!!bora kuendelea na mafuta yangu ya mgando 'vaselin'
Tshs 4,500/- tu, nakula kitu cha CHASTITY au ROYALE na siku inaenda!!
Perfume sio issue sana kama mwili haunuki ha ha ha!!
wakuu naomba mwenye kujua perfume nzuri ya kiume ya budget ya Tsh. 30000.. naomba kujua jina
what is your taste? Unapenda iliyo strong scented? faint kidogo au musk?Mbali na hivyo kuna zile zinazofanana na marashi(al ud),zenye ladha ya matunda, ugoro nk nk nk.So ni vigumu nionavyo kukushauri bila kujua ladha yako ni nini? Au you are interested in any smell-ili mradi kunukia?
Kuna thread ilianzishwa na TF ina kila kitu kuhusiana na Men's Perfumes...utayajua hata usiyofikiria huko, na siku yako itabadilika!
budget ndogoi, cheza na deodorants na bodywash za maana.
Tshs 4,500/- tu, nakula kitu cha CHASTITY au ROYALE na siku inaenda!!
Perfume sio issue sana kama mwili haunuki ha ha ha!!
jaribu KNOWLEDGE au UDV au BLUE FOR MEN...bei si kubwa na harufu yake iko poa...hakikisha ziwe ni prodycts za Rasas
Mnh..naona una hela za mchezo, elfu thelathini perfume tu? jamani?