Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Asante mwanaume mwenzangu kwa kumuelimisha Speaker.
Asante bana,ila nimejua sio tusi baada ya mabishano ya mda mrefu.
Lakini hiyo hailifanyi jina lako kuto ashiria tusi,....kumbuka ni vigumu mtu kuangalia jina
na kutafuta kamusi,....sijawahi kuiona kamusi after all.