Men lets be fair kwa kweli


Mkuu neha mimi , unajua wakati wa kutumiana MACHAPII ya UPUTU mtu anakua hawazi mbaali anawaza kile kilichopo kutokana na kupumbazwa na mapenzi ya kitoto. Ukijiuliza hizo picha ni za nini huwezi kupata jibu.

Kitu kama papuchi ikiwa bila mfuniko wake (pichu) kwa kweli inakosa mvuto, binafsi sipendi kuiona papuchi ikiwa bila pichu. hainisisimui kabisa. Hata nikiiomba picha ukituma ya hivyo siwezi kuiweka nitaifuta haraka sana.
 
Last edited by a moderator:
Yani katika vitu ambavyo hata kuviwaza siviwezi ni kutuma picha ya papuchi yangu, what for? Papuchi zenyewe zilivyo na sura ya ajabu mmh hapana kwa kweli, na hata zingekuwa nzuri kama tausi, why umtumie mtu picha ya maungo yako ya siri? Kesho zikivujishwa mtandaoni tunaanza kulia lia oooh kanidhalilisha eeeeh jamani wewe wakati unamtumia hizo picha hukujia kama unajidhalilisha? Tuache ujinga wa kujifanya tuna mahaba niue
 

aisee, ndo mana nakupenda...
 

Satetment yako na wewe inatia shaka, Yaani mtu just a friend akuombe picha ya mbunye?Huu urafiki wenu na nyinyi ulikuwa wa mashaka. Hivyo vitu vipo mambo ya mahaba we yaache kama yalivyo. Ila inahitaji busara sana kwa kweli.
 
Nimekuunga mkono kwa hoja yako!, but niseme ukweli sio kirahisi rahisi tu nikupe picha ya chuchu au papuchi yangu labda unipige bila kujua.
 
ha ha ha amna ila iliniumiza tu kuona vipicha whats app vibint vidogo wanalia lia picha zao viboyfriend vyao wanasamabaza ni huruma ... hawakufanya kwa nia mbaya ila ndiyo baadae inageuka kuwa fimbo ni huzuni
Kweli mkuu, hawa vijana bado hawajajua nani wa kumtumia na nani wa kumkatalia, inabidi ujue aina ya mtu, tuma lakini jua lolote laweza kutokea. Ficha sura yako then mtumie hata akiweka mtandaoni inakua haina maana kwani haina uhakika kuwa ni wewe.

Hebu kwanza nitumie namimi lol! hahahaaa
 

kwanza kwa nini unamtumia utupu kwenye simu, kama ni mpenzi wako akiutaka si unampelekea live? mambo mengine ni kujitakiaa na wala sio uzalilishaji

Much as wanakubaliana kwa utashi wao we waache tu

wanawake wengi hawajitambui wasisingizie ohooo mahaba yalikolea sana

kwanini upige picha za x nashangaaga kwa kweli mpenzi ataekwambia nitumie picha yako ya x mwekee shaka sio husband material huyo
wengine ni husband wewe sema ndiyo hivyotena mahaba nipofue
hivi mtu unakuwa unawaza nini hadi unapiga picha utupu wako....

wewe uwezi unamdogo wako ndugu yako mtoto wako anafanya hayo madudu kwa nia nzuri tu... msiongee hivyo ni shida huku mitaani watoto wanaacha shule
 
mwanume mwepesi sana kutuma dushe lake hasa kama anamashine inayotosha ...... kuna wengine wanalilia kabisa unatuma na yeye atume kalio


Sasa sijui wanawazaga nn,mim binafsi siwezi kufanya ujinga huo hata kama ni boyfriend wang anataka na nampenda kiasi gan siwezi kufany hivo sana sana ntamuona kumbe hafai
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya ugali kwa picha nilishakataa kitambo, dushe kuuubwa pichani lafaa nini? Ni aheri kula ka tusipiki laivu kuliko dushe kubwa pichani.
 
mi hata ukitaka dushe langu sasaivi na ku PM...shida iko wapi?
 

ha ha ha ha dikembe unanifurahisha sana aisee sasa mwingine anatuma anaweka na sura kaimake up ili mpenziwe aone jamani
 
Last edited by a moderator:
kizazi changu kilivuka kivuko hicho salama! "VODACOM kazi ni kwako"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…