missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,008
- 7,338
Thubutuuu usicheze na moyo,ukipenda kweli hayo yote hutayafikiria.acha kabisa kitu kinachoitwa mapenzi
Ndo inatokea mtu hakutaki sasa,unafanyeje..ajitahidi tu,wengi wamepitia hayo na waka move on. Tena bora yake yeye..wengine wanaachwa baada ya kutumika miaka kibao.