Serikali zinahubiri kuwa ni mfumo dume na wanaharakati wanaita udhalilishaji ama ukatili wa kijinsia lakini makanisa na misikiti wanahubiri mke kumlea na kumtumikia mume kama mtoto na mumme kumtunza mkewe kama yai..hapo naona vita ni ngumu maana vitabu vingine vinasema mungu aliumba msaidizi wake kutoka ktk ubavu wake wa kushoto sasa leo hawataki