Men are cruel to single women

There goes my dota[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hivi ungekurupuka huyu mfilipino wako ungemtoa wapi? Si ungesikia maneno ya watu kuwa hayo yapo kwenye tamthiya tu, kumbe tamthiliya zinaigiza maisha ya watu.

Khaaah, na watuwache tuchague, nikifikisha 40 bila bila nahamia kwa dota wangu nikamvuruge[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kuna jambo nmepata hapa,why do men take a marriage offer kama inamsaidia mwanamke Tu?watu wana assume nini,wanaume wote wanafaa kuwa waume kweli??vijana mjitafakari
Huwa wanajiona wote ni waume, na kila mwanamke anawafaa.
Kukuoa wewe wanakuwa wamekufanyia favour as mwengeso said unatakiwa ustruggle kuhakikisha hiyo offer ulopewa inadumu, lasivyo unamwagwa.
Kiruuuuuuu!!!!
 
Si vinatafutwa, tafuta pesa ingia gym pia mbona inawezekana!! Visivyowezekana ni vile vilivyo nje ya uwezo wako,let say kibamia[emoji12] [emoji12] [emoji12]

Mkwe ambia na wenzako
mpunguze "expectation"

Mwisho wa siku hizo Gym
haziwezi kulea familia na
kupeleka watoto shule.

Kuna vitu vya muhimu
mnavisahau
 
Ukweli ni vyema ukawekwa wazi..heshima ya mwanamke kwa mwanaume wake inatokana pia na mwanaume yuko wapi kimaisha, Kuna mapenzi ndio lakini heshima ndo anachotaka mwanaume, sasa mabinti wasilaumiwe kwa kukataa wanaume, simply mtu anaona hawezi kukuheshimu ndo mana...wanaume angalieni kama lipo la kujifunza hapa muache kulialia na kusimanga wanawake bure,Kuna nafasi yenu hamjaishika ipasavyoo....
 
Huwa wanajiona wote ni waume, na kila mwanamke anawafaa.
Kukuoa wewe wanakuwa wamekufanyia favour as mwengeso said unatakiwa ustruggle kuhakikisha hiyo offer ulopewa inadumu, lasivyo unamwagwa.
Kiruuuuuuu!!!!
Coz ndoa ni ishu ya maisha..watu watakubalije kirejareja?
 
Kwanini watu huwa wanaangalia hali ya kiuchumi?? Ukiona anahofu hali ya uchumi ujue kakuona hakuna bright future ahead, hakuna asopenda shida jamani.

Ila pia kuna wale ambao hawataki story za kuanza sijui tutazisaka wote na blah blah, wanataka ready made, if they can get what they want its okey too.

Kujutia baadae ni matokeo tu kama ambavyo unaweza ukagangamala na limtu ukahangaika naloo baadae likaja kukudissapoint.
 
Hahaha wanaume bana,yeye kuchagua ruksa,kuchaguliwa hatakii...kitu cha 'for life' kweli ni cha kuingia kichwa kichwa??
 
Ndugu yangu struggle ya kuoa na kuolewa inatuhusu wote tu. Kuna wanaume ambao washajikatia tamaa ya kuoa kabisa, na wengine wapo desperate hatari. Ila inaonekana kama wanatufanyia favor simply because sis tuna menopause wao hawana, basi
Hahahaaaa!!! Monopese ndio fimbo wanayotumia kutuchapia.
Kuna wanaume utawaonea huruma wanavyohangaika, basi tu yetu ndio yanaonekana. Hata 'wake' ni adimu kama walivyo 'waume'
 
When I compare single mothers and married but practically single mothers, I prefer the formal! Ujumbe kwenu single mothers msijishushe kwa kujiona hamna thamani. Jamii inawaheshimu na hata kuwaonea gere. Wanaume wanawagwaya kwa sababu wanajua kwenu hawatoshi. Wanawake wenzenu wanatamani wawe kama ninyi sema hawawezi hivyo kuishia kuvumilia mahusiano yaliyowakinai. Mungu ameona unaweza kuwa mwenyewe ndio maana mpaka leo hajakuletea mwanaume wa kukukera. Mungu ana jua unachohitaji na huwa hakosei. Furahia maids mama yang Sonnet!!!
 
Mkwe ambia na wenzako
mpunguze "expectation"

Mwisho wa siku hizo Gym
haziwezi kulea familia na
kupeleka watoto shule.

Kuna vitu vya muhimu
mnavisahau
Hatujavisahau vyote tunavikumbuka bwana, kwani hakuna wanaotunza familia na kwenda gym? Au hiyo ni luxury you cant afford??
Achana na 8packs, we fanya kwa afya yako mkwe wangu, unadhani mfuko ukiwa vizuri hata hizo sijui nini packs watazikumbuka!!!
 
Haha hata sisi tunakataliwa kwa sababu ya hali za kiuchumi na uzuri. Binadamu huwa tunapenda sana kubebewa mizigo yetu, ila kubeba mizigo ya wenzetu wagumuuu. Nani asiyependa kuoa/kuolewa sehemu ambapo kuna unafuu??? Ni sawa na me nilalamike kuwa mtu kanikataa kisa I ain't beautiful, kwa kweli ntashukuru tu, asije akanioa kwa huruma, huko ndoani hata kuongozana na mimi hataki Lol. Tena wanaume mkishafanikiwa kidogo, ndo standards zinapandaje, which is very ok to me ( unavyozidi kupanda juu hata circle yako inabadilika). Afu sometimes ukiwa huna hela, unakuwa too sensitive, ukikataliwa tu unahisi ni kwa sababu huna pesa. Inawezekana kweli pesa huna, na vigezo vingine anavyovitaka mtu huna, afanyaje? Tena mwanamke akikuonesha yupo interested sana na hela, ndo vizuri, unajua kabisa I can't keep her aende tu. Kuliko ajilazimishe kuolewa na wewe, huko ndoani siku ukifulia, utafurahiii

Kingine nyie wanaume, wengi tu tunawaona mmeanzia mbali na binti wa watu, mkifanikiwa kidogo tu, utasikia wewe sio hadhi yangu, hadhi yako inaanza kuwa na kina Lulu. Mpigwe wote juani, vivulini mkacheke na wengine? Ambaye hana moyo wa uvumilivu, inamkatisha tamaa, anaona bora aende Kwenye unafuu tu mapema

Sio kila mtu anaweza akamsupport mwenzake from scratch kwa moyo mmoja, ni wachache wenye neema hiyo. Na hata wakimbiwaje wapo hivyo hivyo, they won't change na hawaregret coz ni kitu walichokifanya kutoka ndani ya mioyo yao. Tusilazimishe mtu akuvumilie while hana neema hiyo, utasimangwa ujute kuzaliwa. Wenye mioyo ya kuwasuppott watawasupport tu, ila ndo msiwakimbie mkishafanikiwa. Na mtu akikukataa, muache tu aende, vingine sio riziki zetu haviliki. Kwenye kutukataa ndo wengine wanajifunziaga makosa yao humo humo. Don't complain, inawezekana ile rejection ndo ilikuwa mlango wako wa baraka

Physical attraction ni ya muhimu bana. Ndo kinachotautisha Kati ya upendo wa baba na baby. Kuna muda ukifika ni nyoyo tu zinaongea, kama mtu hajakuvutia unadhani utananhiliuuu. Mtu akuvutie, uwe comfortable naye kuongozana na hata kumtambulisha " he is the one" Labda tu wale wanaotaka mwanaume wa kusifiwa na mashosti zake wote, ndo waache huo udwanzi. Mumeo awavutie shosti zako, ndo atawaoa? Akikuvutia wewe tu inatosha
 

Mada kuu ya "Sonnet" ni kwa nini bado yuko 'single at 30'!

Baadhi ya wachangiaji wanaasema kuolewa mapema ni kukurupuka!

'Heaven Sent' kwa ID yako yawezekana kweli umeshushwa toka mbinguni, siyo kimwili, hivyo kwako kuolewa baada ya 26 miaka, hutokurupuka, utakuwa mwangalifu "I aint in a rush or desperate for marriage" umeandika.

Maswali yangu yafuatayo bado ni la msingi:
BEFORE 26 YEARS (young, sexy and lovely) you have been in several relationships and yet you were not able yo hold onto one. Now you feel time for marriage is no longer very friendly, but:

1) what is in a marriage?
2) How can you make your marriage lively?

Honest answers to the two fundamental questions, light up the dark marriage tunnel.
 
Haha Field Marshall mkubwa wewe, ukae huko huko kwako.
 

Niliuliza swali awali "what makes a man a suitable husband material?"

Hayo uliyotaja hapo juu siyo ya mwanaume wa kutanua naye tu?
 
Yaani akiondoka na aende tu walaaa hauna haja ya kujilaumu sana, mengine hutokea ili anaestahili aje. Walaa siji kuregret na kuliwazia. Yawezekana alikwenda akafanikiwa ndio lkn angekuwa na mimi hakuna rangi ningeacha ona. Watu waache kuwa waoga na kufurahisha watu kwa kung'ang'ania muhogo mchungu.

Kuna mwanaume mmoja rafiki yangu aliniuliza 'umeolewa'? Nikamjibu bado, akaniambia hata usithubutu maisha ya ndoa sio kabisa. Nilimjibu tu, wewe kwakuwa yako imebuma it daznt mean na yangu itabuma au zote zimebuma, kwani hakuna wanaofurahia ndoa zao?

The right one will come and i'll get married, am not praying for anything bad to happen, and my Lord will never dissapoint me.

Dota hakuna kitu kinamnyima mwanaume kujiamini kama kutokuwa na pesa, wanajitutumua tu ila ukweli wanaujua, ndio maana utaona comment zao zote zina mrengo huo, usione huwa nahubiri pesa wananichukia bure ila nawatafutia confidence.
 
Truth be told...nani asipenda kuoa/kuolewa penye unafuuu..
Nimeipenda hii,.ndoa Ina uwezo wa kubadilisha dira ya maisha yako kabisaa,au kukudidimiza kabisaa, unless km mtu una mpango wa kutoka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…