Ryan Seacrest , mwamba huyu hapa sasa aisee hii talent kwenye kutangaza sijawah kuonaIf you grew up listening to Hollywood Hamilton, Casey Kasem na Ryan Seacrest via KISS FM....na ulikua hukosi America Top 30, Top 40 na Billboard top 100...gather here tafadhali....
Hakutawahi kutokea redio ya kijanja TZ kama Kiss Fm. Watu wa Mwanza na kanda ya ziwa wangekuwa wanasikiliza Kiss na si kutumiana salamu Free Afrika leo wasingekuwa washamba kama walivyo
American top 40 with Ryan Seacrest....If you grew up listening to Hollywood Hamilton, Casey Kasem na Ryan Seacrest via KISS FM....na ulikua hukosi America Top 30, Top 40 na Billboard top 100...gather here tafadhali....
Wakati huo nilikuwa wish kwenda usa kuishi huko milele......nikikuwa najiona kama nimeshafika nikiwa namsikiliza hutu mwamba.....anajua mnoooRyan Seacrest , mwamba huyu hapa sasa aisee hii talent kwenye kutangaza sijawah kuona
Jumapili saa 8 hadi 12 jioniNiliijua USA yote kupitia zile show na wakati kwa macho sijawahi enda
Ahahaha anajua sanaWakati huo nilikuwa wish kwenda usa kuishi huko milele......nikikuwa najiona kama nimeshafika nikiwa namsikiliza hutu mwamba.....anajua mnooo
Nilikuwa natumia huo muda kupiga misuli ya PCB kila weekendIf you grew up listening to Hollywood Hamilton, Casey Kasem na Ryan Seacrest via KISS FM....na ulikua hukosi America Top 30, Top 40 na Billboard top 100...gather here tafadhali....
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Tobby the Splash, nadhan mzimbabwe hivi hatari sana Kiss Fm...jamaa walikuwa mbele ya muda sana.