Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,472
- 40,832
- Thread starter
- #21
Ki vipi mkuuIla kuna wanaume wanajua kujitoa ufahamu aisee
Ki vipi mkuuIla kuna wanaume wanajua kujitoa ufahamu aisee
Mie sizihitaji...sina ratiba za kuja kutongoza mtu katika maisha yanguHizo mbinu ntaanza na wewe pm
Mi ntakushawishi nikuteke kihisia ujae kwenye 18 zanguMie sizihitaji...sina ratiba za kuja kutongoza mtu katika maisha yangu
Pande zipi?[emoji23]Domo zege wenzangu tujuane [emoji2772]
Ila aiseee unakaaje na manzi Tena umemjua huna hata siku unamuuliza " vp mvua huko" [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Block 41 cute bPande zipi?[emoji23]
Vipi kuna mvua huko?Block 41 cute b
Manyunyu tu naomba namba yako tuchat WhatsApp bbyVipi kuna mvua huko?
Vamia tu mtajuana mbele kwa mbeleUnataka tuanze kutongoza avatar za wanawake humu?
Uanze tu kumtongoza mtu hata hujawahi kumuona
Haha kawaida sanahahaha, watu mmepinda aisee.
Sawa nakutumia pm, tuje tujadili mvua.Manyunyu tu naomba namba yako tuchat WhatsApp bby
Wanawake wameumbwa kudanganywa mpe ahadi hewa mpakue...unashindwa na nyoka bhanaUkosefu wa pesa nao unasababisha mwanaume kutokujiamini kuwa domo nzege over
Fresh tu karibu kwetuSawa nakutumia pm, tuje tujadili mvua.
Mambo mengine vipi lakini?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani nimefika Muda muafaka hahahahahhahahshshshah..........
Asante, mkeo hajambo?Fresh tu karibu kwetu