Tufanyeje Sasa mkuu maana hali si nzuri. Mi ningeomba uongozi wa jf kuwe na jf ya wakubwa na watoto, tujisajili kutumia vitambulisho vya taifa.Una wazo kama langu, nacheza na wapwa zangu humu hakyanani. Tatizo uraibu wa huu mtandao ni noma sana...
NakaziaTufanyeje Sasa mkuu maana hali si nzuri. Mi ningeomba uongozi wa jf kuwe na jf ya wakubwa na watoto, tujisajili kutumia vitambulisho vya taifa.
😀😀Nakazia
Umemwacha lara 1 sijui amepotelea wapi huyo na story za wadangaji!!Abdulhalim, Mkandara, Kibunango, Mzee Mwanakijiji, Sikonge, Ibrah, MgonjwaUkimwi, Ogah, Kiranga, Zitto, Alpha, Lunyungu, Halisi, Shadow, Mchambuzi, JokaKuu, Mpita Njia, Gembe, Kakalende, SMU, Bongolander, Questt, Ngambo Ngali, Chamoto, The Boss, jmushi1, Semilong, Kang, Nyambala, KiuyaJibu, PakaJimmy, Zogwale, Kinyau, Saharavoice, Amoeba, Ndahani, Mfamaji, MAMMAMIA, Mwazange, Crashwise, zomba, Bujibuji, Nyani Ngabu, Mpenda Kwao, BAK, Binti Maringo, Nyamgluu, Steve Dii, Desidii, Mdondoaji, Mvina, Kivumah, Power to the People, Kisusi Mohammed, Msanii, Mafuchila, FirstLady1, Fixed Point, Mbogela, Balantanda, Pretty, TANMO, Riwa, Hofstede, Nemesis, Kaa la Moto, Remmy, MamaParoko, Mama Joe, simplemind, AmaniGK, Buchanan, Bramo, Gbollin, MwanajamiiOne, Masaki, Bubu Msemaovyo, Freetown, Amina Thomas, Choveki, MwanaFalsafa1, TIMING, X-PASTER, BelindaJacob, Saikosisi, MziziMkavu, Injinia, Original Pastor, Preta, Zion Daughter, Chamoto, NGULI, vivian, rmashauri, Susuviri, MwanaHaki, Masanilo, Yegomasika, Belo, Mahesabu, Kaizer, Gaijin, King'asti, MpigaKelele, Mag3, Nichola
Huyu manzi namkubali sana sijui yuko wapi
Wazo zuri ila kuna wenzetu bado wanatamani kuwa watoto...Tufanyeje Sasa mkuu maana hali si nzuri. Mi ningeomba uongozi wa jf kuwe na jf ya wakubwa na watoto, tujisajili kutumia vitambulisho vya taifa.
Watajisaji jf ya watoto, na wasiruhusiwe kuingia jf ya wakubwa maana akili zao zitakuwa bado changa.Wazo zuri ila kuna wenzetu bado wanatamani kuwa watoto...
Utoto mwingi Sana siku hizi.mie mwenyewe nilikuwepo enzi hizo baada ya kuona watoto wamekuwa wengi nikapumzika kuja kuridi nikawa nimesahau details za akaunti yangu so nikaja na hii.siku hizi nachunguliaga tu kiaina.BelindaJacob.MziziMkavu,BAK, Nyani Ngabu,Binti maringo,nilikua napenda sana topic za Mwanajamii One,The Boss..mmeenda wapi jamani,mmewezaje ku beat up JF Addiction?
Mmewakumbuka na waliobadirisha ID zao au mmewachukua waliokuwa wanatumia ID izo izoAbdulhalim, Mkandara, Kibunango, Mzee Mwanakijiji, Sikonge, Ibrah, MgonjwaUkimwi, Ogah, Kiranga, Zitto, Alpha, Lunyungu, Halisi, Shadow, Mchambuzi, JokaKuu, Mpita Njia, Gembe, Kakalende, SMU, Bongolander, Questt, Ngambo Ngali, Chamoto, The Boss, jmushi1, Semilong, Kang, Nyambala, KiuyaJibu, PakaJimmy, Zogwale, Kinyau, Saharavoice, Amoeba, Ndahani, Mfamaji, MAMMAMIA, Mwazange, Crashwise, zomba, Bujibuji, Nyani Ngabu, Mpenda Kwao, BAK, Binti Maringo, Nyamgluu, Steve Dii, Desidii, Mdondoaji, Mvina, Kivumah, Power to the People, Kisusi Mohammed, Msanii, Mafuchila, FirstLady1, Fixed Point, Mbogela, Balantanda, Pretty, TANMO, Riwa, Hofstede, Nemesis, Kaa la Moto, Remmy, MamaParoko, Mama Joe, simplemind, AmaniGK, Buchanan, Bramo, Gbollin, MwanajamiiOne, Masaki, Bubu Msemaovyo, Freetown, Amina Thomas, Choveki, MwanaFalsafa1, TIMING, X-PASTER, BelindaJacob, Saikosisi, MziziMkavu, Injinia, Original Pastor, Preta, Zion Daughter, Chamoto, NGULI, vivian, rmashauri, Susuviri, MwanaHaki, Masanilo, Yegomasika, Belo, Mahesabu, Kaizer, Gaijin, King'asti, MpigaKelele, Mag3, Nichola
Mwaka 2008 Smartphone zilikuwepo mkuu,kulikuwa na Nokia ambazo una-touch kwa kutumia pen maalum. Hizi za sasa zimeboreshwa tu na kazi ya tecnolojia. Nilikuwa na touch km hiyo mwaka 2008. Na blog maarufu ilikuwa Jambo na bbc..hii Jambo ndo jamii forums hii iliyoboreshwa.hawa ni wahenga isee kipindi hicho walikuwa wanatumia kompyuta tu nadhani kuingia jamii forum maana smartphone hazikuwepo na hakuna aliyejua kama zitakuwepo.
Hapo nipo form two iseee..!
Dunia inakimbia sana
Mambo mengi mda ni mchache.
Kama yupi kwa mfano? Si vibaya tukihabarishana.Usichimbe sana mkubwa wengine hapo na mashada yalishateketea