Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,104
- 43,357
Nilikuwa napitia ripoti ya haki za binadamu kwa mwaka 2008 kutoka Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje. Kuhusu suala uhuru wa maoni na habari ripoti hiyo ina maangalizo kadhaa mojapo ni hili:
kwa upande mwingine kuhusu matumizi ya internet ripoti hiyo inadokeza:
On February 18, Maxence Mello and Mike Mushi, editors of Jambo Forums, a popular public discussion Web site, were detained for 24 hours and their site closed for five days for "disseminating wrong information" concerning a scandal-ridden private energy deal involving the then-prime minister.
kwa upande mwingine kuhusu matumizi ya internet ripoti hiyo inadokeza:
Naibadilisha ripoti kuweka kwenye PDF ili watu waweza kujisomea...There were no government restrictions on access to the Internet. During the year the police started monitoring the Internet to prevent trafficking in persons and other illegal activities. Websites and blogs critical of the government faced the same scrutiny and possibility of arrest as print journalists. However, in general, individuals and groups could engage in the peaceful expression of views via the Internet, including by e-mail. The number of Internet cafes and providers increased during the year; however, since only 10 percent of citizens had access to electricity, Internet access was severely limited.