nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Na Bunge liwekewe vigezo kwua watakaotakiwa kupitishwa ni wale tu ambao watawezaa kutekeleza sera yetu ya nje kwa ufanisi, umri isiwe kigezo kikubwa sanaIts time tubadili sheria mabalozi wawe wanapitishwa na Bunge sio kama zawadi kwa marafiki wa vigogo.
Kuna thread nimeona inasema kuwa wanaofanya kazi kwenye balozi zetu ni watoto wa vigogo. Ina maana Membe anatueleza kuwa tutachagua mabalozi ambao ni vijana wa vigogo kwa vile wao ndio wenye sifa zinazotakiwa?
Nadhani anachosema Membe ni kuwa watoto wao (watoto wa vigogo) wamekuwa na sasa wanataka kuwafanya mabalozi. Foreign Affairs imejaa majina yale yale! Na ndio maana sasa hivi sifa ya Tanzania kimataifa inashuka maana hatuna wana-diplomasia tena, ila tuna genge la 'surnames' linawakilisha maslahi ya familia zao. I hope one day magezti ya Tanzania yataandika orodha ya maofisa walioko kwenye balozi zetu nje na hata hawa hapa Dar es Salaam. Jina moja baada ya jingine.
Kuna thread nimeona inasema kuwa wanaofanya kazi kwenye balozi zetu ni watoto wa vigogo. Ina maana Membe anatueleza kuwa tutachagua mabalozi ambao ni vijana wa vigogo kwa vile wao ndio wenye sifa zinazotakiwa?
Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema?
Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema?
Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema?
Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema?