Membe sasa apania Kuvunja muungano

viongozi wa kitaifa wanapozuru nchi yetu huwa ni wageni wa ikulu au wa waziri? na huwa wanapangiwa ratiba na waziri?

Haaaaa! sangara wewe ni muajiriwa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiani wa Kimataifa ,Hope your in a good position ya Kujibu hili swal
 
Wazanzibari hawajawahi kuuheshimu wala kuenzi muungano uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar na ndio ambao watauvunja muungano huu. Utamaduni wa desturi za kiarabu ndio chanzo cha tofauti zetu za kimsingi. Sio siri kwamba Wazanzibari walio wengi wanategemea mjomba aliye arabuni hasa Oman. Mtu anayeishi kwa kutegemea ndugu tulishaambiwa na wahenga kwamba hufa maskini
 
Tusitake kupotosha Ukweli tuwe honest Shinyanga ni Mkoa na zanzibar ni sehemu ya muungano ,Hoja ya ogwari ni ya msingi and it look kuna tatizo kubwa Foreign ,State house na Wezi wa protocol.Ni mwenye fikra finyu tu ndiye anayeweza kulinganisha Kigoma, Kagera na Zanzibar. Zanzibar ni Nchi ina Rais , Mawaziri ila hawana wizara ya mambo ya Nje ,kulingana na katibu ya Jamhuri ya Muungano kuna wizara ambazo zitakuwa chini ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na kuna wizara zitakazokuwa chini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Membe hawezi hakakwepa hizi lawama anahusika moja kwa moja na Hili suala .Solution ni Kihipa kura CDM muachane na Magamba yote CUF na CCM

Shinyanga ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Zanzibar nayo sehemu ya Tanzania, Tena shinyanga unaweza kukuta ina watu wengi kuliko Zanzibar, kwa hiyo nao wanaweza kulalamika kwa nini hao viongozi wanafika DSM na Arusha tu? Suala la kuwa na serikali siyo la msingi, bali linasaidia kurahisisha utawala upande wa Zanzibar, otherwise itabidi wabara nao walalamike kuwa hawana serikali/Rais, iliyopo ni ya Muungano.
 
kwani hao wageni walitaka kutembelea zanzibar na Membe akagoma? sijasikia kiongozi yeyote aliezuru Tanzania akilalamika kuwa wizara imemzuia asiende zanzibar

Mwambene It look rushwa za Foreign Kitengo cha Protocol vimekupefusha macho!! By the way kwa kutumia experience yako hapo foreign Mgeni anapokuja Tanzania ni kitengo kipi kinachoshirikiana na ofisi za balozi kuratibu ziara za viongozi wageni
 
Hawa nao wanalalamika kama akina "beijing" huwa wanasema mbona mke mdogo umempelekea nyama mie kila siku dagaaaa tu, mara mbona umelala mara nyingi wakati jana ilikua zamu yangu...basi tu ilimradi amesema hajapitwa na jambo eti.......usawa mwingine wala hauna maana kwani alipokuja alitaja kuwa natembelea Tanganyika peke yake? maana ya kuungana ni nini sasa? means we are all one.
 
Unaelewa unachokiandika kweli?

waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar
 
Big up Membe!! Tumewachoka hawa walalamishi wasioridhika! Nakutakia kila la kheri na una-support ya WaTanganyika wote
 
Potelea mbali Membe na avunje huo muungano kweupeeeee wala si kwa siri! kwani cha ajabu ni nini! kwani lazima wageni wanaotembelea tanzania waende Zbr? kwani si Zbr inajiita nchi na inakana kuwa wao si sehemu ya Tanzania? mnalilia nini tena wakati mna Rais wenu, bendera yenu, wimbo wenu wa taifa na hata Katiba yenu mnayo! itakuwa ajabu wageni watembelee Kenya Tanzania ilaumu eti kwanini hawakuja na Tz!!
 
hapo kazi ipo
kwani hao viongozi si wametembelea Tanzania na wals sio Tanganyika?
lakini pia si wametembelea ikulu ya Rais wa jumhuri ya muungano ya Tanzania,kwa hiyo hakuna kosa hapo mkuu
 
Mwambene It look rushwa za Foreign Kitengo cha Protocol vimekupefusha macho!! By the way kwa kutumia experience yako hapo foreign Mgeni anapokuja Tanzania ni kitengo kipi kinachoshirikiana na ofisi za balozi kuratibu ziara za viongozi wageni

Haiihitaji mtu kufanya kazi foreign kuweza kugundua kuwa mlichokiandika ni upupu mtupu...na unapoanza kuondoka kwenye mada uliyoileta na kuanza kushambulia wachangiaji sidhani kama upo sahihi bwana mapesa.na nainaomba niweke kumbukumbu sawa kwamba wazazi wangu hawajawahi niita jina hilo unalonibambika.
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

SIJAKUELEWA,,,, HAO VIONGOZI WALIKUJA TANZANIA BARA AU DARISALAAAM??? maana hata KIGOMA, LINDI, MBEYA HAWAJAFIKA!!!!! kwani zanzibar ni nchi au ni mikoa ya nchi hiiiiii.................. NAKUJA KUOA HUKO, NIATAFUTIE MKE, muungano oyeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
wangojee aje ahmedinejad atawatembelea wakae nayeeee na mafutari wale naye na daku pia ili kiu ya kutembelewa na wageni wa kitaifa iwaishe..Sawasawaaaaa
 
ya! ni kwel wazenj wamejaa ubaguzi ivi simlisikia ndugu zetu walichomewa vibanda eti sababu ni wabara isitoshe hadi siku moja wamewahi choma kanisa.wana mambo ya msingi wanayokandamizwa na serikali but siyo ziara za mabepari aliowataja ambao nao wengi wana agenda na interest za siri ktk raslimali zetu.
 
Kwani kuna tofauti kati ya Tanzania na Zanzibar?kwa navyoelewa mie zenji ni sehemu ya nchi inayoitwa Tanzania
 
Japo huwa sipendi muungano uvunjike kwa vile hakuna sababu za msingi kufanya hivyo, lakini ziko nyakati huwa natamani iwe hivyo tujue moja maana hawa jamaa ni walalamishi kwelikweli kwa vitu vidogo kabisa. Nani asiyekumba kwamba mpaka majuzijuzi tu hapa mtu ulikuwa ukitaka kwenda Zanzibar mpaka passport (hili limekwisha miaka si mingi ilopita), lakini wao kuja bara freeee,, halafu kelele zote wao, ndiyo nini jama? Inakera sana, nikiwa Rais, nitaamua kuuvunja tuone kama wabara tutakufa!!
 
Back
Top Bottom