Membe Nakubali Siyo Vizuri Kudharau Mamlaka Lakini Mmhh kwa Awamu Hii, Hapana!!

Kingcobra

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,000
309
Wakubwa,

Katika mahojiano niliyoyasikia kupitia Kituo cha ITV Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Uhusiano wa Kimataifa Mhe. Membe alieleza pamoja na mambo mengine kusikitishwa kwake na namna baadhi ya watu wanavyodharau na kuiita dhaifu serikali ya awamu ya nne ambayo anadai imechaguliwa na wananchi. Mhe. Membe alisema ni kosa kubwa kufanya hivyo na akapinga tabia ya kuihusisha serikali na kila udhaifu au hali mbaya ya kimaisha inayoikumba nchi na wanachi wake.

My take:
(1) Heshima ya serikali kutoka kwa wanachi inatokana na matendo ya serikali yenyewe kwa wanachi wake. Heshima kamwe hailazimishwi kutolewa. Na kama ikilazimishwa hiyo siyo heshima. Neno dhaifu halikuwahi kutumika kwa marais wa awamu ya kwanza, pili na ya tatu. Hali inayoashiria kwamba awamu hii imevuka kiwango cha kutowajibika kwa kiwango stahili.

(2) Serikali iliyopo madarakani ndiyo inaweka mipango na kuamua viwango vya kodi wanayotozwa wananchi kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya wananchi wanaochangia kodi. Wananchi wanapoona maendeleo hayapatikani pamoja na rasilimali zilizopo wamlaumu nani kama siyo serikali!!? Kwa ujumla, ni vigumu kutenganisha hali ngumu ya maisha na utendaji wa serikali.
 
Wakubwa,

Katika mahojiano niliyoyasikia kupitia Kituo cha ITV Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Uhusiano wa Kimataifa Mhe. Membe alieleza pamoja na mambo mengine kusikitishwa kwake na namna baadhi ya watu wanavyodharau na kuiita dhaifu serikali ya awamu ya nne ambayo anadai imechaguliwa na wananchi. Mhe. Membe alisema ni kosa kubwa kufanya hivyo na akapinga tabia ya kuihusisha serikali na kila udhaifu au hali mbaya ya kimaisha inayoikumba nchi na wanachi wake.

My take:
(1) Heshima ya serikali kutoka kwa wanachi inatokana na matendo ya serikali yenyewe kwa wanachi wake. Heshima kamwe hailazimishwi kutolewa. Na kama ikilazimishwa hiyo siyo heshima. Neno dhaifu halikuwahi kutumika kwa marais wa awamu ya kwanza, pili na ya tatu. Hali inayoashiria kwamba awamu hii imevuka kiwango cha kutowajibika kwa kiwango stahili.

(2) Serikali iliyopo madarakani ndiyo inaweka mipango na kuamua viwango vya kodi wanayotozwa wananchi kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya wananchi wanaochangia kodi. Wananchi wanapoona maendeleo hayapatikani pamoja na rasilimali zilizopo wamlaumu nani kama siyo serikali!!? Kwa ujumla, ni vigumu kutenganisha hali ngumu ya maisha na utendaji wa serikali.

waweza kuchagua mume na bado ukajua ni "zaifu".... au waweza kuchagua mke, badae ukajua ni kicheche tu...

KWAHIYO bEN ASITUSUMBUE NA KULAZIMISHA "AS IS" TIME INA FACTOR KUBWA

ILA SINA HAKIKA KAMA SERIKALI NI DHAIFU AU MEMBE NDIO DHAIFU:eek2: MAANA KAMA KUNA MTU NADHANI HANA PRODUCT YOYOTE YA KUJIVUNIA TANGU AWE WAZIRI.... HANA PRODUCT YOYOTE ZAIDI YA ANECDOTAL MEDIA REFLEXES
 
Wakubwa,

Katika mahojiano niliyoyasikia kupitia Kituo cha ITV Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Uhusiano wa Kimataifa Mhe. Membe alieleza pamoja na mambo mengine kusikitishwa kwake na namna baadhi ya watu wanavyodharau na kuiita dhaifu serikali ya awamu ya nne ambayo anadai imechaguliwa na wananchi. Mhe. Membe alisema ni kosa kubwa kufanya hivyo na akapinga tabia ya kuihusisha serikali na kila udhaifu au hali mbaya ya kimaisha inayoikumba nchi na wanachi wake.

My take:
(1) Heshima ya serikali kutoka kwa wanachi inatokana na matendo ya serikali yenyewe kwa wanachi wake. Heshima kamwe hailazimishwi kutolewa. Na kama ikilazimishwa hiyo siyo heshima. Neno dhaifu halikuwahi kutumika kwa marais wa awamu ya kwanza, pili na ya tatu. Hali inayoashiria kwamba awamu hii imevuka kiwango cha kutowajibika kwa kiwango stahili.

(2) Serikali iliyopo madarakani ndiyo inaweka mipango na kuamua viwango vya kodi wanayotozwa wananchi kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya wananchi wanaochangia kodi. Wananchi wanapoona maendeleo hayapatikani pamoja na rasilimali zilizopo wamlaumu nani kama siyo serikali!!? Kwa ujumla, ni vigumu kutenganisha hali ngumu ya maisha na utendaji wa serikali.
Mkuu Kingcobra, Membe hapaswi kulaumu. Serikali ya awamu ya nne imejidharaulisha yenyewe. Asitafute mchawi atapoteza muda wake bure. Mchawi wa serikali ni serikali yenyewe.
 
MEMBE KWANGU MIMI NI MLIMBWENDE TU anayekurupuka kuua soo zake za akina kaddafi
 
Alisema nchi hachukuliwi na pickup walibya wakachukua anasema Rais siyo dhaifu imeshajidhihirisha ni mdhaifu na serikali yake ikiwemo yeye mwenyewe membe
 
Back
Top Bottom