Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,144
- 12,193
Kwanini Musiba anasahau kulitaja hili likamuongezea credit, au hana uhakika nalo?membe bhana
Kwanini Musiba anasahau kulitaja hili likamuongezea credit, au hana uhakika nalo?membe bhana
Labda agombee kwa chama chake,huku CCM mgombea ni mmoja tu nae ni JPM na huu ndio utaratibu tuliojiwekea wana CCM.Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.
Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.
"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.
Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."
Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Hii michezo ya kitoto sana. Robert Green kwenye "48 Laws of Power" Law #3 anasema "Conceal your Intentions: keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions".Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.
Hii michezo ya kitoto sana. Robert Green kwenye "48 Laws of Power" Law #3 anasema "Conceal your Intentions: keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions".
Siamini kabisa kama kachero mzoefu kama Membe haifahamu hii basic law. Otherwise keshapitwa na game na aende akalime tu.
Wafukuzwe na hao wazito nao.HahahaaaaaaUsifikiri membe yupo pekeyake kuna watu wazito wapo nyuma yake
Hii law inafanya kazi kwenye fair grounds, siyo kwenye grounds ambazo mmoja anapiga nyundo yeyote yule ambaye akilini mwake anadhani ni "potential" challenger!.
Kama unafuatilia vizuri Membe alikaa kimya kwa muda mrefu, mpaka Katibu Mkuu akaanza kumchimba ili na yeye asifu juhudi za Mwenyekiti, au aseme chochote cha kuonyesha hautaki Uraisi
Baada ya maji kukorogeka ilibidi aibuke Daudi wa kusema mimi nakwenda kumng'oa Goliath, na kitendo cha kuonyesha ujasiri katika wakati huu ambao wengi wameufyata kunamuongezea Credit!
Kumbuka Laws of Power inasema Conceal your moves mpaka pale utakapohisi Master yuko Vulnerable, Kwa sasa Jiwe yuko Vulnerable mno ndani ya CCM ndiyo muda muafaka wa kustrike.
Membe amefanya Good timing ila ninachomshauri ASIKUBALI KUSHAURIWA KUACHA, INABIDI AENDE TU AKACHUKUE FOMU , ATUMIE KANUNI YA COLIN POWEL KUWA KAMA HUJAAMUA KUINGIA KWENYE VITA USIBEEP, ILA UKIAMUA KUSHAMBULIA BASI SHAMBULIA KWA NGUVU KUBWA ULIYONAYO!
Njia ya kumng'oa Jiwe ni Blitzkrieg ya kisiasa, yaani Pressure kutoka ndani ya Chama chake, Pressure ya Umma, Pressure kutoka kila kona. Lazima akae!
Pole sana.Hii michezo ya kitoto sana. Robert Green kwenye "48 Laws of Power" Law #3 anasema "Conceal your Intentions: keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions".
Siamini kabisa kama kachero mzoefu kama Membe haifahamu hii basic law. Otherwise keshapitwa na game na aende akalime tu.
Membe anazijua vizuri kanuni za CCM hawezi kutamka haya maneno wakati huu. Mnamtengenezea mazingira ya kumuengua atakapochukua form au afukuzwe uanachama kwa 'Uasi'Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.
Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.
"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.
Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."
Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
membe mweupe tu huyo hana jipya anajifurahisha tu.jiwe halipendagi ushindani
Anaweza kuwekwa kizuizini huyu
Wewe ndio wala si yeye.membe mweupe tu huyo hana jipya anajifurahisha tu.