cc tunaotumia opera mbona hatuwezi kuiangalia? Tunaomba tuwezeshe kwa njia nyingine, au ukiingia youtube inaitwa video gani?
geuzia (antena) mjini.
alifanya nini haswa hadi ukamtoa mtimani?
Jamani video mbona haionekani?
Tukimchagua Membe tutakuwa tumemchagua Jaa la Kaya jingine!! hawa ni ndugu wa Damu!! Kwa ufahamisho wenu Huyo ndiye aliye nyuma ya kufungiwa Mwanahalisi, Membe alikuwa TISS iliyogeuka Uhasama wa Raia. Ukichagua Membe umechagua TISS na Zoka na Ighondu!! tutapona kweli!!??Mh, kwa hali hii ya viongozi maslahi hatufiki kokote, halafu eti anataka tumpe nchi,
si atatuuza kwa mikataba kama ile ya kina chifu Magungo!...
Kichwa cha habari na video ni tofauti. Ungesema tu kuwa Naibu waziri wa Zanzibar anataka kuwa sawa na waziri kivuli wa JMT
Kuna siku nimewaza sana kama hiyo nchi yetu inahitaji viongozi au tungeweza kuwa better off without viongozi
Malalamiko ya watanzania kwamba viongozi wanasaini mikataba bila kusoma sasa yamethibitishwa wazi na mwakilishi wa Dimbani zanzibar Bw.Mwinyi Haji Makame(CCM) kwa Bw. Bernad Membe ktk kile kuonyesha kuwa careless kwa kufikia kusaini mkataba ambao hakutakiwa kusaini ambapo mwakilishi anadai kwenye video hiyo iliyoko ndani ya youtube.
Mwakilishi huyo alipokuja juu mbele ya JK kwamba kwanini waziri wake amesaini Mkataba ambao si wake? JK kama kawaida yake ya kutetea uzembe alimuombea amsamehe kwamba hayo ni makosa ya kibinadamu tu.
Kwahiyo watanzania kilio chenu cha miaka mingi cha kulalamikia mikataba kusainiwa bila kusomwa sasa kimedhibitishwa wazi na Bw. Mwinyi kuwa viongozi ni watu wasio na huruma na nchi hii tunakupandisha ndege hadi China tunakulipa Posho za kukatana na shoka halafu still hufanyi kazi yako tunayokulipa nafikiri baada ya kuangalia video wale wote mliokuwa mnawaza labda Bw. Membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mtabadili mawazo yenu. waandishi tusaidieni kumuuliza ilikuwaje asaini mkataba bila kusoma kwanza anachosaini??
Angalia video hii:
[/QUOTE
Foreign affairs is amongst the Union Matters (Constitution of URT, 1977 1st Schedule), and the person in charge of them is Membe! He was right, huyu jamaa wa SMZ hana locus stand in the presence of the Minister for Foreign Affairs for URT.