Membe wa kwenu huko huko anawajambisha mbaya.View attachment 1485563View attachment 1485564Tumeshaanza maandalizi, kamanda membe anatosha 2020.
Aisee ongeza sauti au rudia tena.Mwaka 2010 waliotaka kumchallenge Kikwete ilikuwaje? mwaka 2000 je kwa Mkapa ilikuwaje? Membe kugombea urais mwaka huu anatumwa na nani? hata angekuwa yeye ndiye rais angekubali mtu mwingine apewe form? Sikubaliani Na Magufuli kwa mambo mengi ila kuna ajenda ya siri anayo Membe.
Membe anatumika kupoteza tension ya uchaguzi ndani ya vyama vya upinzani na kuteka social media ili wagombea wa upinzani wakose platform.
Membe ni mtu hatari kwa upinzani kuliko hata ccm kwenyewe mimi binafsi kama kuna chama cha upinzani hasa CHADEMA AU ACT watamkaribisha Membe nitamchagua Magufuli hatuwezi kurudisha nchi kwa hizi ngedere.
Ila kwa akili za huyu sijui ngoja tumuachie alie juuView attachment 1485487
Vijana wa upinzani wenyewe ndiyo wanampa Platform Membe ya kusikika wakati hana lolote la maana zaidi ya kujipigisha vikelele uchwara tu.Mwaka 2010 waliotaka kumchallenge Kikwete ilikuwaje? mwaka 2000 je kwa Mkapa ilikuwaje? Membe kugombea urais mwaka huu anatumwa na nani? hata angekuwa yeye ndiye rais angekubali mtu mwingine apewe form? Sikubaliani Na Magufuli kwa mambo mengi ila kuna ajenda ya siri anayo Membe.
Membe anatumika kupoteza tension ya uchaguzi ndani ya vyama vya upinzani na kuteka social media ili wagombea wa upinzani wakose platform.
Membe ni mtu hatari kwa upinzani kuliko hata ccm kwenyewe mimi binafsi kama kuna chama cha upinzani hasa CHADEMA AU ACT watamkaribisha Membe nitamchagua Magufuli hatuwezi kurudisha nchi kwa hizi ngedere.