Membe anatumika kuua upinzani?

Membe anatumika kuua upinzani?

Mkuu usiwe na shaka safari hii wapinzani wako very smart; wao ndio wanamtumia Membe kushughulika na mifumo mibovu ya ccm. Ana ucheza mziki wa wapinzani na anakikosoa chama chake akiwa humo humo. Ameshaanza kuzungumzia tume huru yenye kutenda haki akiwa huko huko ccm bado hujaona kama anatumika? Tena na upinzani.
 
Mwaka 2010 waliotaka kumchallenge Kikwete ilikuwaje? mwaka 2000 je kwa Mkapa ilikuwaje? Membe kugombea urais mwaka huu anatumwa na nani? hata angekuwa yeye ndiye rais angekubali mtu mwingine apewe form? Sikubaliani Na Magufuli kwa mambo mengi ila kuna ajenda ya siri anayo Membe.

Membe anatumika kupoteza tension ya uchaguzi ndani ya vyama vya upinzani na kuteka social media ili wagombea wa upinzani wakose platform.

Membe ni mtu hatari kwa upinzani kuliko hata ccm kwenyewe mimi binafsi kama kuna chama cha upinzani hasa CHADEMA AU ACT watamkaribisha Membe nitamchagua Magufuli hatuwezi kurudisha nchi kwa hizi ngedere.
Aisee ongeza sauti au rudia tena.
Membe ni km Lowassa kipindi kile finish.
 

Attachments

  • VID-20200621-WA0025.mp4
    2.2 MB
Membeeee chambo hicho. Finish.
 

Attachments

  • VID-20200621-WA0011.mp4
    2.8 MB
Mwaka 2010 waliotaka kumchallenge Kikwete ilikuwaje? mwaka 2000 je kwa Mkapa ilikuwaje? Membe kugombea urais mwaka huu anatumwa na nani? hata angekuwa yeye ndiye rais angekubali mtu mwingine apewe form? Sikubaliani Na Magufuli kwa mambo mengi ila kuna ajenda ya siri anayo Membe.

Membe anatumika kupoteza tension ya uchaguzi ndani ya vyama vya upinzani na kuteka social media ili wagombea wa upinzani wakose platform.

Membe ni mtu hatari kwa upinzani kuliko hata ccm kwenyewe mimi binafsi kama kuna chama cha upinzani hasa CHADEMA AU ACT watamkaribisha Membe nitamchagua Magufuli hatuwezi kurudisha nchi kwa hizi ngedere.
Vijana wa upinzani wenyewe ndiyo wanampa Platform Membe ya kusikika wakati hana lolote la maana zaidi ya kujipigisha vikelele uchwara tu.

Membe huyu alipigia katiba ya hovyo ya mzee Sita leo anazungumzia tume huru.?

Vijana wa upinzani mmepoteza focus badala ya kuzungumzia serious issues mko busy kudeal na petty issues za wanasiasa uchwara kama kina Membe ?
 
Wenye kumbukumbu tuambieni, 2000 na 2010 ilikuwaje? Walijitokeza wengine kuwapa challenge Mkapa na Kikwete?
 
Back
Top Bottom