Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,542
- 7,450
Hapa naweza kusema kilichokuuma mleta uzi ni kuhamia ACT tu hakuna zaidi, mengine yote majungu na fitna kama lowassa, mpaka leo hamjawahi kupeleka hata jalada moja la kesi yake mahakamani, na mfalme wenu siku akitaka kuhama mtakumbusha meli ya mv dar ES salaam na wale samaki tuliopita mabilioni yetu kwa kazi zake za sifa,