Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
Je ni maofisa wepi wa Foreign waliandika speech ya Membe Bungeni? Kuna mtu alianzisha thread humu JF na kutuelezea maofisa wa Kimalawi walivyojipenyeza mpaka ndani ya idara nyeti za serikali na inanifanya nistuke kuwa inawezekana kuwa wengine wamemzunguka waziri Membe.
Zaidi soma hii thread:
Huyu waziri wetu wa mambo ya nje na ndiye duania nzima inamsikiliza akitoa kauli lakini kwa kauli hii hapa chini aliyoitoa bungeni haonekani kama ni patriotic na bado anaendelea kuwa treat Malawi as friends/allies wakati ukweli Mali ni hostile na hii inanifanya nijiulize hivi huyu mheshimiwa ambaye anatajwa kuwa anaweza kuwania urais in 2015 anazo guts za kuwa na credentials za kuwa touch on foreign adversaries? Piakutokana na ukweli kuwa aliwahi kuwa afisa mkubwa huko Usalama wa Taifa (TISS) na kwingineko serikalini inamaana huu mgogoro unatupatia picha ya namna gani anatatua migogoro akiwa commander in Chief wa Tanzania. Bwana Membe nafahamu unatakiwa utumie diplomatic language lakini umesahau kuwa mle ni Bungeni na ulitakiwa utoe kauli ambayo inge tupatia hamasa hawa jirani na wengine kuwa karata zote tunazo na tuko tayari kuzitumia at any time na sio kuwaita hawa wamalawi ''WENZETU''
haya ndio maneno yaliyonistua kutoka kwa Membe leo Bungeni:
68. Mheshimiwa Spika, baada ya majadiliano makubwa kati yetu na Malawi, Serikali yetu iliwataka wenzetu wa Serikali ya Malawi pamoja na kampuni za utafiti au uchimbaji kusitisha mara moja shughuli zote za utafiti hadi majadiliano yatakapokamilika. Ni matumaini yetu kuwa wenzetu wa Malawiwametuelewa. Hata hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa mgogoro huu mbele ya safari kutatuliwa na Msuluhishi badala ya sisi wenyewe.
Sitaki kumrudisha shule Mheshimiwa Membe lakini naomba upate nafasi usome hiki kitabu hapo chini ili uelewe as nations we do not trust anyone na pia naomba kukujulisha kuwa huwezi ku run foreign ministry kwa mitazamo ya idealism its about time ukawa realist tena hard core realist
In short Wa Malawi sio wenzu bali they are our adversary
Zaidi soma hii thread:
Huyu waziri wetu wa mambo ya nje na ndiye duania nzima inamsikiliza akitoa kauli lakini kwa kauli hii hapa chini aliyoitoa bungeni haonekani kama ni patriotic na bado anaendelea kuwa treat Malawi as friends/allies wakati ukweli Mali ni hostile na hii inanifanya nijiulize hivi huyu mheshimiwa ambaye anatajwa kuwa anaweza kuwania urais in 2015 anazo guts za kuwa na credentials za kuwa touch on foreign adversaries? Piakutokana na ukweli kuwa aliwahi kuwa afisa mkubwa huko Usalama wa Taifa (TISS) na kwingineko serikalini inamaana huu mgogoro unatupatia picha ya namna gani anatatua migogoro akiwa commander in Chief wa Tanzania. Bwana Membe nafahamu unatakiwa utumie diplomatic language lakini umesahau kuwa mle ni Bungeni na ulitakiwa utoe kauli ambayo inge tupatia hamasa hawa jirani na wengine kuwa karata zote tunazo na tuko tayari kuzitumia at any time na sio kuwaita hawa wamalawi ''WENZETU''
haya ndio maneno yaliyonistua kutoka kwa Membe leo Bungeni:
68. Mheshimiwa Spika, baada ya majadiliano makubwa kati yetu na Malawi, Serikali yetu iliwataka wenzetu wa Serikali ya Malawi pamoja na kampuni za utafiti au uchimbaji kusitisha mara moja shughuli zote za utafiti hadi majadiliano yatakapokamilika. Ni matumaini yetu kuwa wenzetu wa Malawiwametuelewa. Hata hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa mgogoro huu mbele ya safari kutatuliwa na Msuluhishi badala ya sisi wenyewe.
Sitaki kumrudisha shule Mheshimiwa Membe lakini naomba upate nafasi usome hiki kitabu hapo chini ili uelewe as nations we do not trust anyone na pia naomba kukujulisha kuwa huwezi ku run foreign ministry kwa mitazamo ya idealism its about time ukawa realist tena hard core realist
In short Wa Malawi sio wenzu bali they are our adversary