Membe alisahau nini Serikalini?

Acheni hizo mbona mnamwandama Sana kakosea nn ?hii nchi ni huru kwa nn Kila siku membe kawakosea nn nyinyi nyang'au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe amelifanyia mengi taifa hili .Aliipaisha nchi kimataifa.Karibu wakuu wa nchi kubwa duniani walifika Tanzania kipindi hicho.Huyu wa sasa anajaribu kuvuruga hayo mahusiano mazuri!
 
Membe ni kapi.

Kama ni kapi kwa nini mnamuogopa?

Kwa nini mnamjadili hamlali?

Kwa nini mnamzuia kuchukua fomu za Urais?

Kwa nini mnamdukua simu zake na mipango yake?

Kwa nini mnamuita ofisi za CCM aje kukanusha nia?
 
Akiingia kuna uwezekano ukaja kumsifia.
 
Jiu Jiulizeni Kwanini alipotaka kugombea urais alimwaachia nape Jimbo? Je yeye na nape wana mahusiano gani? Je nape akiwa katibu mwenezi ccm ,kinana alikuwa katibu mkuu, je kinana na member Hawa uhusiano ikiwa kinana na nape ilikuwa timu moja na membe? Je hamuoni jk na membe ni ndugu? Mwacheni JPM achape kazi.hao jamaa ni wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa wodini.
 
Mnafiki mkubwa wewe huna lolote endekeza majungu yako huko.
Sisi tuko na jembe letu JPM [emoji1241][emoji818]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Techniques za kutafuta kufuungwa mkono na wapinzani kwa manufaa binafsi

Jr[emoji769]
Kama ikitokea wapinzani wakamuamini, that would be the last nail in the coffin. Ina maana hawajajifunza tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…