Kwa hiyo akiingia membe wewe na wenzako nao mtapata nafasi ya kutuibia sio?
Mtandao ulikwisha kufa kifo cha membe(mende).
Mtateseka sana kwenye keyboards lakini hamtabadilisha lolote nchi imeisha shika kasi kuelekea mabadiliko, na huko tuendako ni siasa zisizo na mitandao.
Kazi kwenu mliozowea kuishi kwa mfumo wa tunamjua nani?
Sent using
Jamii Forums mobile app