Membe akalia kuti kavu CCM

Membe akalia kuti kavu CCM

Kuna tetesi zinadai kuwa JIWE ameampa maelekezo bashiru alli ya kumfuta uanachama mh membe....

Boss kashasema tayari kilichobaki ni utekelezaji wa kumtimua chamani
 
Umetumwa wewe membe hajakalia kuti kavu na mwambie jiwe ajiandae yeye atakua rais wa kwanza kukaa kwa kipindi cha muhula mmoja
 
Kuna tetesi zinadai kuwa JIWE ameampa maelekezo bashiru alli ya kumfuta uanachama mh membe....

Boss kashasema tayari kilichobaki ni utekelezaji wa kumtimua chamani
is it possible? tukimtoa nchale tukimwacha nchale nadhani wanachoweza kufanya kwa sasa ni kumfreez humohumo chamani ila sio kumtoa
 
Acha waparuane wenyewe ila hilo likifanikiwa basi Ccm wajiue tu jina limebadilika kutoka Chama Cha Mapinduzi = Chama Cha Magufuli.

Na kumng'oa nduli hapo magogoni iwe kwa kikatiba au kinguvu itawawia vigumu.

Pia upinzani wa majukwaa ya kisiasa i.e CDM/ACT ndiyo utakuwa kwishnehi (japo upinzani upo mioyoni) ila hakuna atakayethubutu kunyanyua mdomo.

Mi naona turufu ya wanaccm kuonesha kuwa chama kina nguvu ni kuzuia na kupinga dhuruma itakayofanyika hapo unless they are all finished na hakuna atakayekuwa salama.
 
Membe achukue watu wake aje huku kwenye UNITED FRONT.
 
is it possible? tukimtoa nchale tukimwacha nchale nadhani wanachoweza kufanya kwa sasa ni kumfreez humohumo chamani ila sio kumtoa
Kwani wakimtoa atawafanya nini mkuu?

Samaki ana nguvu akiwa ndani ya maji tu.,akitolewa sasa....
 
Bashiru ni speaker kama zilivo zingine,yeye utekeleza kile mic inachosema
Kuna tetesi zinadai kuwa JIWE ameampa maelekezo bashiru alli ya kumfuta uanachama mh membe....

Boss kashasema tayari kilichobaki ni utekelezaji wa kumtimua chamani
 
Kwa Sheria mpya ya kuuwa vyama vingine ikipita wanawezaitumia ili kumfuta ndoto ya kuwa raisi. Ni rahisi kiongozi wa kiafrica kukupa roho yake kuliko kukuachia kiti chake.
is it possible? tukimtoa nchale tukimwacha nchale nadhani wanachoweza kufanya kwa sasa ni kumfreez humohumo chamani ila sio kumtoa
 
Mtego mwingine kwa chadema, watajifanya wamemfuta uanachama Mbowe atageuza gea angani na kumsajili kifuatacho ni mwendelezo wa sinema ya Lowassa na Sumaye!
 
Yeye ndo raia mwoga zaidi nchi hii...angalia lundo la mgambo wanaomlinda
na wasipomlinda hao mgambo watafanya kazi gani?????????
HapaKaziTu
msikariri mambo badilikeni zama zimebadilika.
 
Acha mafisi yatafunane yenyewe kwa yenyewe

DJ weka reggae tule ngoma
tapatalk_1534194587249.gif
 
Back
Top Bottom