Meli ya uvuvi ya Iran yatekwa na maharamia ya kisomali

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,734
29,122
Mzuka wanajamvi,

Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.

Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.

Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.

Hapa Patamu Shia vs Sunni.

Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.

Alwaz Ritz incharge ITR

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
 
Mzuka wanajamvi,

Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.

Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.

Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.

Hapa Patamu Shia vs Sunni.

Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.

Alwaz Ritz incharge ITR

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
Hahahhahah 😂😀😀😀 Wameiteka Red Sea daaah.

Shule shule. Shule.

Kwa hiyo hao wasomali walitoka bahari ya Hindi wakaenda kuteka meli bahari nyekundu😂
 
Mzuka wanajamvi,

Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.

Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.

Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.

Hapa Patamu Shia vs Sunni.

Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.

Alwaz Ritz incharge ITR

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
Ngoja wavaa pedo waje hapa waseme ' wasomali maharamia teule'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzuka wanajamvi,

Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.

Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.

Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.

Hapa Patamu Shia vs Sunni.

Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.

Alwaz Ritz incharge ITR

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
Ndio umeona story ya kuja humu?
 
Dogo yani huoni kabisa cha ajabu hapo. Yani kwenye hiyo iyo bahari Houthi wanateka meli za wateule nao wanalizwa na vikundi vya kiharamia. Big up somali pirates.
We tulia acha kuita madogo watu usio wajua,watu tuna watoto majumbani unatuita madogo utakuja upakatwe mchana kweupe.
Sasa hiyo meli ya wavuvi ina athari gani kwa uchumi wa Iran ukilinganisha ni meli zilizo zuiliwa kwenda Israel?
Kwanza hiyo hela wanayo itaka ni ndogo sana.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mzuka wanajamvi,

Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.

Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.

Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.

Hapa Patamu Shia vs Sunni.

Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.

Alwaz Ritz incharge ITR

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
Kwaweli sasa dunia imevaa chupi kichwani
 
We tulia acha kuita madogo watu usio wajua,watu tuna watoto majumbani unatuita madogo utakuja upakatwe mchana kweupe.
Sasa hiyo meli ya wavuvi ina athari gani kwa uchumi wa Iran ukilinganisha ni meli zilizo zuiliwa kwenda Israel?
Kwanza hiyo hela wanayo itaka ni ndogo sana.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaha 😂😂🤣
 
Back
Top Bottom