Meli ya Maman BENITA yazama ikiwa na abiria 26, aonekana 1 tu

Mm naogelea sana tena sana, kuna siku nipigwa wimbi moja kubwa kama nyumba. Kila kitu kikaishiwa nguvu, kwa wimbi ilo kutoka ngumu sana
 
Sidhan kama wanaweza kudeviate jina halisi la mtu. Mfano naitwa James wao wataniandika DJAMES?
Mkuu sijui jina lako. Lakini siku ukienda nchi ya Francophone watamkie uone watakavyoliandika. Jina langu mimi hasa la ukoo limeshaandikwa kinamna nikaishia kushangaa tu.

Unarudia tena na tena kutamka unaandikwa hivyo hivyo. Mpaka nilipoizoea lugha ya Kifaransa tabu ikaisha. Nawaandikia jinsi lilivyo halafu nawaandikia jinsi ya kutamka. DRC wana afadhali kwa sababu ya Kiswahili. Nenda Gabon au Benin ujionee.
 
Mkuu, Meli inazama katikati huko unaogelea kurudi au kumalizia safari? Siku ikifika utajifunza kuogelea halafu kuna kitu kitakwambia leo panda ndege ndo safari hiyo. RIP
hahaa...haa.haa... tutajifunza kuruka
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mbona lugha nyingi tu zinabadili matamshi na spelling za majina mkuu
Mfano Kiswahili tu nchi Kama America tunaiita Marekani, Mozambique wenyewe sidhani Kama wanajua nchi yao inaitwa Msumbiji.
Kwenye majina ya watu ndio kabisa kila lugha Ina matamshi na spelling zake.
Moses-musa
Solomon -selemani
Sembuse hiyo Juma kwa Djuma.
Mbona jina la huyo Mchina lina J Lakin hawajaweka D mwanzo? Twende kwa hoja.
 
Mkuu sijui jina lako. Lakini siku ukienda nchi ya Francophone watamkie uone watakavyoliandika. Jina langu mimi hasa la ukoo limeshaandikwa kinamna nikaishia kushangaa tu.

Unarudia tena na tena kutamka unaandikwa hivyo hivyo. Mpaka nilipoizoea lugha ya Kifaransa tabu ikaisha. Nawaandikia jinsi lilivyo halafu nawaandikia jinsi ya kutamka. DRC wana afadhali kwa sababu ya Kiswahili. Nenda Gabon au Benin ujionee.
Swali linabaki pale pale..

Kuna jina hapo la Mchina
Anaitwa MENG JIANYOU
kwanini hawakuandika

MENG DJIANYOU?

kwanini iwe kwa OMARI JUMA ambaye nyie mmesema imeongezwa D kwenye jina kisa ni wanatumia Francophone akaitwa OMARI DJUMA. huyo mchina yeye kwenye kutamka jina lak3 haina haja ya D si ndio?
 
Mm naogelea sana tena sana, kuna siku nipigwa wimbi moja kubwa kama nyumba. Kila kitu kikaishiwa nguvu, kwa wimbi ilo kutoka ngumu sana
Wimbi kama hujajiandaa umepotea kabisa ,binafsi naogelea sana ila siku moja nilichemka kwa wimbi sijaliona .

Ilibaki kidogo tu nife.
 
Dualis na Raum new model zinaenda kuoza tu chini ya maji. Namkumbuka jamaa aliyekuwa akilalamika kupokonywa gari aliloliokota baada ya kusombwa na maji kwenye mto akalikuta limenasa pembeni huko baada ya maji kupungua😂😂
Above all poleni sana ndugu na marafiki wa marehemu. Kifo cha maji kinauma sana yaani unakufa huku unajiona😩
 
Swali linabaki pale pale..

Kuna jina hapo la Mchina
Anaitwa MENG JIANYOU
kwanini hawakuandika

MENG DJIANYOU?

kwanini iwe kwa OMARI JUMA ambaye nyie mmesema imeongezwa D kwenye jina kisa ni wanatumia Francophone akaitwa OMARI DJUMA. huyo mchina yeye kwenye kutamka jina lak3 haina haja ya D si ndio?
Siwezi kujua. Labda walipewa maandishi. Ila pia ikiwezekana mtafute mchina umuombe akutamkie “Meng Jianyou” kama utaisikia kama ilivyoandikwa hapa. Kumbuka kichina rasmi kinaandikwa kwa maandishi ya Mandarin.

Btw Rais wa Togo aliyepita jina linaaandikwa Gnassingbe Eyadema. Linatamkwa Nyasimbe Eyadema. Sisi waswahili tungeliandika kama linavyotamkwa sio hilo uzauza la mwanzo. Wao maandishi yetu yangetamkwa Niazimbe. Ukitaka spelling za jina lako zisikosewe, wape maandishi ubaki kuzoea watakavyokuita.
 
Wakongo ili watamke "Juma" inabidi iandikwe "Djuma". Kilimanjaro inaandikwa "Kilimandjaro". Usipotanguliza "d" mbele ya "j" matamshi yanakuwa mengine kabisa. Ndio uandishi wa wanaotumia kifaransa (French script).
Naitwa Dominic kwa kikongo ntaitwa Jominick
 
Back
Top Bottom