Meli ya Israeli yavunja katazo la Urusi kuzuia Ngano isisafirishwe kutoka Ukraine kupitia Black Sea

Izi habari za uku nime mute kidogo nafuatalia hawa waafrica wenzangu NIger na West Africa at large
 
Athubutu kuanzisha ugomvi na Israel, jamaa mikwara yake tumeizoea, siku hizi Ukraine wanajipigia majengo ya Moscow, kila siku wanachagua jengo la kupiga.
Israel saizi yake Hesbola, Palestina na Waarabu...Na magaidi...hao wababe wa Ulaya hana cha kufanya...
 
Ni swala la kihistoria kuna waisraeli wapo Russia na Russia inawategemea sana kwa maswala muhimu ya kiteknolojia hivyo kwa Israel Russia lazima awe tu mpole.
Niliposoma title tu nikajua comment ya hivi nitaikuta tu .
 
Sie nyie juzi hapa mlituambia anazuia meli zote, make anawasiwasi hata rafiki zake akina turkey wanamsaliti kupitia Sheena za ngano
Russia haijazuia Meli kuingia Black Sea ila kilichopo amesitisha mkataba ambao ukizipa fulsa meli kuingia bandar ya Odesa bila kushambuliwa, kwiayo kama utaingiza meli Bandar ya Odesa ukikutana na Kombola sawa ukipita salama kheri.
 
Sie nyie juzi hapa mlituambia anazuia meli zote, make anawasiwasi hata rafiki zake akina turkey wanamsaliti kupitia Sheena za ngano
Russia haijazuia Meli kuingia Black Sea ila kilichopo amesitisha mkataba ambao ukizipa fulsa meli kuingia bandar ya Odesa bila kushambuliwa, kwiayo kama utaingiza meli Bandar ya Odesa ukikutana na Kombola sawa ukipita salama kheri.
 
An Israeli merchant ship that embarked from the Port of Ashdod Monday became the first vessel to openly defy Russia’s blockade of the Black Sea since they pulled out of a deal with Ukraine allowing the country to export grain from its ports in mid-July, Ukrainian news outlet Militarnyi reported on Monday.

Israeli vessel Ams1 seemingly ignored Russian threats and entered the Ukrainian branch of the Danube Monday afternoon, according to Ukrainian reports. It crossed the Black Sea on a direct route from Ashdod Port while the American aircraft P8 Poseidon provided aerial security, the reports added.

Russia stepped away from the agreement in mid-July, arguing that demands to improve its own food and fertilizer exports had not been met and that not enough Ukrainian grain had reached the poorest countries under the Black Sea deal.

Russian President Vladimir Putin delivers a statement at a the final day of the Russia-Africa summit in Saint Petersburg, Russia, July 28, 2023. (credit: Valery Sharifulin/TASS Host Photo Agency via REUTERS)
Russian President Vladimir Putin delivers a statement at a the final day of the Russia-Africa summit in Saint Petersburg, Russia, July 28, 2023. (credit: Valery Sharifulin/TASS Host Photo Agency via REUTERS)

The Black Sea grain deal that Russia withdrew from two weeks ago was brokered by the UN and Turkey a year before in an effort to combat a global food crisis worsened by Russia's February 2022 invasion of Ukraine. Ukraine and Russia are among the largest grain exporters in the world.

Since Russia quit the deal and began attacking Ukrainian food-exporting ports on the Black Sea and Danube River, global wheat and corn futures have risen sharply.

United Nations Secretary-General Antonio Guterres had written to Putin on July 11 in a final effort to save the deal. He proposed Russia extend the agreement - with a daily limit of four ships traveling to Ukraine and four ships leaving - in return for connecting a subsidiary of Russia's Agricultural Bank, Rosselkhozbank, to the SWIFT global payments system.

"With the termination of the Black Sea Initiative, the most vulnerable will pay the highest price," Guterres told the UN Food Systems summit in Rome in late July. "When food prices rise, everybody pays for it."

African leaders pressed Russian President Vladimir Putin to renew the deal on the safe wartime export of Ukrainian grain at a Russia-Africa summit in Saint Petersburg on Friday.

====
Israeli ndio imekuwa nchi ya kwanza kwenda kinyume na tangazo la Urusi,kuzuia ngano kusafirishwa toka Ukraine kupitia -Black Sea 🤔

Niger imefunga lake ila kuna ndege jion hii zimetumia anga ya Niger na nyingine kitua kabisa NIAMEY Mji mkuu wa Niger
20230808_200759.jpg
20230808_200752.jpg
20230808_200756.jpg
 
Israel saizi yake Hesbola, Palestina na Waarabu...Na magaidi...hao wababe wa Ulaya hana cha kufanya...

Kwa sasa Urusi mliyokua mnategemea haina jeuri kwa Israel, haina jeuri hata kwa mataifa ya waarabu miungu wenu waliokua wanaitegemea hiyo Urusi.
 
Niger imefunga lake ila kuna ndege jion hii zimetumia anga ya Niger na nyingine kitua kabisa NIAMEY Mji mkuu wa Niger
View attachment 2712143View attachment 2712145View attachment 2712144

Wamewasiliana na serikali ya NIGER hawawezi wakajiingiza kibishi kuna risk ya kupoteza ndege kabisa.

Ni same kwa hio meli ya israel itakua imeomba ruhusa kuingia hapo.

Israel na Russia wana mawasiliano mazuri hata wakati wa vita pale Syria walokua wanaelewana.

Tumeshuhudia NETA nyau akienda urusi mara kwa mara wakisaini mikataba ya maelewano.
 
Wamewasiliana na serikali ya NIGER hawawezi wakajiingiza kibishi kuna risk ya kupoteza ndege kabisa.

Ni same kwa hio meli ya israel itakua imeomba ruhusa kuingia hapo.

Israel na Russia wana mawasiliano mazuri hata wakati wa vita pale Syria walokua wanaelewana.

Tumeshuhudia NETA nyau akienda urusi mara kwa mara wakisaini mikataba ya maelewano.
Hata israel kaombwa sana silaha na zelensky za kulinda anga netanyau kama hasikii
 
Back
Top Bottom