zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,060
- 28,706
- Thread starter
- #141
Mkuu sijui umeelewa mada?? Kinachonitatiza Ni huyo Melchizedek kuelezwa kma Alikua binadamu na mfalme wa Nchi/kuhani then agano jipya anaelezwa kwamba hana baba wala mama na anaishi milele....Siku ukielewa kuwa Agano la kale ni kivuli cha Agano jipya utafunguka ufahamu. Hata hivyo nakushangaa wewe kwa sababu Melkizedeki kaandikwa wazi kwenye Biblia. Unakwama wapi?
*Nakua curious je alikua mtu wa kawaida?
*Je yeye ndio Yesu/Mungu/Malaika fulani?
*Kwanini Yesu afananishwe naye?? Ana kitu gani special zaidi?
* kwanini biblia haijamuongelea kwa undani ilihali ana maana kubwa kiroho??
NNisaidie hapa