Melchizedek na utata unaomzunguka

Hivi kwa mujibu wa maandiko Yesu si ni mwana wa Mungu, vipi tena inakuwaje mnasema hana baba?

Mfano maandiko yanasema:
"Na kwa namna hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa MWANA WAKE WA PEKEE ili kila atakayemuamini asipotee"

"Mahali pengine yanasema:
Baba mtukuze Mwanao na mwanao naye akutukuze....."

"Sehemu nyingine panasema, Huyu ni MWANANGU mpendwa niliyependezwa naye.."

Sasa ni andiko gani kwenye Biblia linasema Melkizedeki ana baba?

Kama Yesu ndiye Melkizedeki basi Yesu hana baba kwa hiyo dhana ya Kuwa Yesu ni mwana wa Mungu inavunjika

Na kama Yesu ni mwana Pekee wa Mungu basi Yesu siyo Melkizedeki maana Melkizedeki hana baba
 
Ivi kwa nini lakini hawa waandishi walitumia lugha ya mafumboo..!!??
Vichwa panzi hapa unatoka kapaaa...!!

But why?...Whyyy??
Mathayo 13
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano (Mafumbo)?
11 Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.
12 Kwa maana ye yote mwenye kitu atapewa, naye atazidishiwa tele; lakini ye yote asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang?anywa.
13 Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala kuelewa.
14 Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema,Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa;Kutazama mtatazama, wala hamtaona.

JIBU: Ili kuficha siri za ufalme wa mbingu kwa watu wasio wake

Ni sawa tu na mashirika ya usalama/Jasusi hutumia mafumbo kuwasiliana ili watu msio wa shirika lao msigundue wanachoongelea yaani siri zao!!
 
Hivi kwa mujibu wa maandiko Yesu si ni mwana wa Mungu, vipi tena inakuwaje mnasema hana baba?

Mfano maandiko yanasema:
"Na kwa namna hii Mungu aliupenda ulimwengu akamtwaa MWANA WAKE WA PEKEE ili kila atakayemuamini asipotee"

"Mahali pengine yanasema:
Baba mtukuze Mwanao na mwanao naye akutukuze....."

"Sehemu nyingine panasema, Huyu ni MWANANGU mpendwa niliyependezwa naye.."

Sasa ni andiko gani kwenye Biblia linasema Melkizedeki ana baba?

Kama Yesu ndiye Melkizedeki basi Yesu hana baba kwa hiyo dhana ya Kuwa Yesu ni mwana wa Mungu inavunjika

Na kama Yesu ni mwana Pekee wa Mungu basi Yesu siyo Melkizedeki maana Melkizedeki hana baba
Mkuu hata sisi binadamu tunamuita Mungu ni Baba na Yesu ni kaka yetu ila Je hatuna baba wa kimwili??

Yohana 1:12
12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

Wakolosai 1:15
15 naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.

Anaitwa mwanaye sababu ana Roho wa Mungu ndani yake na sisi pia tunaitwa watoto wa Mungu sababu tuna Roho wake ndani yetu lakini sio Baba kimwili.

So Still Yesu hana Baba wala Mama coz alikuwepo kabla hata ya uumbaji ila huyo Maria alitumika kma njia ya kumleta duniani ila sio kwamba ndio alimzaa Yesu tokea dunia haijaumbwa.

So bado Yesu hana Baba wala Mama na anathibitisha hapa

Mathayo 12
46 Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.
47 Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
48 Akajibu, akamwambia yule aliyempasha habari, Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?
49 Akawanyoshea mkono wanafunzi wake, akasema, Tazama, Mama yangu na ndugu zangu!
50 Kwa maana ye yote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.
 
Mkuu hata sisi binadamu tunamuita Mungu ni Baba na Yesu ni kaka yetu ila Je hatuna baba wa kimwili??

Yohana 1:12
12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

Wakolosai 1:15
15 naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.

Anaitwa mwanaye sababu ana Roho wa Mungu ndani yake na sisi pia tunaitwa watoto wa Mungu sababu tuna Roho wake ndani yetu lakini sio Baba kimwili.

So Still Yesu hana Baba wala Mama coz alikuwepo kabla hata ya uumbaji ila huyo Maria alitumika kma njia ya kumleta duniani ila sio kwamba ndio alimzaa Yesu tokea dunia haijaumbwa.

So bado Yesu hana Baba wala Mama na anathibitisha hapa

Mathayo 12
46 Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.
47 Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
48 Akajibu, akamwambia yule aliyempasha habari, Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?
49 Akawanyoshea mkono wanafunzi wake, akasema, Tazama, Mama yangu na ndugu zangu!
50 Kwa maana ye yote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.

Kama hiyo ndiyo hoja basi hata sisi tumekuwepo huko kwa Mungu kabla ya kuja duniani, kwa hiyo hata sisi hawa tunaowaita mama zetu ni njia tu ya kutuleta humu duniani.

HATA SISI HATUNA BABA WALA MAMA, HAWA TULIO NAO NI NJIA TU

Ecclesiastes 12:7
“Then shall the dust return to the earth as it was: and the spirit shall return unto God who gave it.”
 
Kama hiyo ndiyo hoja basi hata sisi tumekuwepo huko kwa Mungu kabla ya kuja duniani, kwa hiyo hata sisi hawa tunaowaita mama zetu ni njia tu ya kutuleta humu duniani.

HATA SISI HATUNA BABA WALA MAMA, HAWA TULIO NAO NI NJIA TU
Hapana Yesu alikuwepo kabla hata ya uumbaji Rejea Yohana 1:1-5..... Hivyo mpaka hapo kuna tofauti kati yake na wanadamu "kimwili" ila Kiroho sisi sote ni wana wa Mungu as long as tukiwa tuna Roho yake ndani yetu.
 
Hapana Yesu alikuwepo kabla hata ya uumbaji Rejea Yohana 1:1-5..... Hivyo mpaka hapo kuna tofauti kati yake na wanadamu "kimwili" ila Kiroho sisi sote ni wana wa Mungu as long as tukiwa tuna Roho yake ndani yetu.

Maandiko yanasema hata Sisi roho zetu zimetoka kwa Mungu

“Then shall the dust return to the earth as it was: and the spirit shall return unto God who gave it.”
 
Hapana Yesu alikuwepo kabla hata ya uumbaji Rejea Yohana 1:1-5..... Hivyo mpaka hapo kuna tofauti kati yake na wanadamu "kimwili" ila Kiroho sisi sote ni wana wa Mungu as long as tukiwa tuna Roho yake ndani yetu.
Missile of the Nation kingine ukisoma Waebrania hiyo 7 sura nzima inasema Melchizedek hana mwisho kma Yesu ila Je kuna mwanadamu ambaye anaishi milele??
 
Maandiko yanasema hata Sisi roho zetu zimetoka kwa Mungu

“Then shall the dust return to the earth as it was: and the spirit shall return unto God who gave it.”
Yes roho zetu zimeumbwa na Mungu ila Je Yesu aliumbwa??? Ukipata mstari ambao unasema Roho ya Yesu iliumbwa basi hapo itasaidia kuweka mfananisho.
 
Kiroho tunaishi milele
Tukishauvua mwili baada ya kiwiliwili kututoka tunaishi milele
Nipe reference mkuu nachojua kwenye Bible Human ni mortal Mwanzo 6.... Then tukifa Roho inarudi kwa Mungu till hukumu ndio fate inajulikana sasa hayo ya kuishi milele wakati huu yapo wapi tena mkuu??

Waebrania aliongelea kwa context yetu ya kimwili kwamba huyo jamaa anaishi milele kma Yesu na hana baba wala mama (kimwili) yaani hakuzaliwa hapa duniani ila alikuwepo miaka nenda rudi kabla hajaja duniani same as Jesus situation.

Ila sisi wanadamu tunaanza kuishi tukiwa hapa duniani tumezaliwa na mama zetu kabla ya hapo tulikua Vague tu. Na tukifa tunakuwa vague mpaka hukumu. Hatuwezi kuishi kwa kufunction kama Yesu kwamba twende zenji turudi Dar in spirit!! Haiwezekani kabisa.
 
Nipe reference mkuu nachojua kwenye Bible Human ni mortal Mwanzo 6.... Then tukifa Roho inarudi kwa Mungu till hukumu ndio fate inajulikana sasa hayo ya kuishi milele wakati huu yapo wapi tena mkuu??

Waebrania aliongelea kwa context yetu ya kimwili kwamba huyo jamaa anaishi milele kma Yesu na hana baba wala mama (kimwili) yaani hakuzaliwa hapa duniani ila alikuwepo miaka nenda rudi kabla hajaja duniani same as Jesus situation.

Ila sisi wanadamu tunaanza kuishi tukiwa hapa duniani tumezaliwa na mama zetu kabla ya hapo tulikua Vague tu. Na tukifa tunakuwa vague mpaka hukumu. Hatuwezi kuishi kwa kufunction kama Yesu kwamba twende zenji turudi Dar in spirit!! Haiwezekani kabisa.

Kwani Yesu kabla ya kuja duniani alikuwepo huko alipokuwa mwanzoni KIMWILI NA KIROHO AU ALIKUWA KIROHO PEKE YAKE?

Kwani walioko kuzimu hii leo wako vague, au wana conscious kamili na wataendelea kuwa na conscious milele?

Maana Yesu alimwambia yule mwizi mmoja aliyekuwa pembeni yake msalabani kuwa amin amin nakwambia leo hii utakuwa nami peponi, huu ni ushahidi kuwa kuna watu baada ya kuacha miili wako na conscious zao kamili na wanastarehe huko peponi (kama yule mwizi).

Sasa ukisema eti tukishaacha miili tunakuwa vague, Hebu lete andiko la kuthibitisha kuwa tunakuwa vague isije ikawa ni just mawazo yako tu mkuu yasiyothibitishwa na maandiko
 
Kwani Yesu kabla ya kuja duniani alikuwepo huko alipokuwa mwanzoni KIMWILI NA KIROHO AU ALIKUWA KIROHO PEKE YAKE?

Kwani walioko kuzimu hii leo wako vague, au wana conscious kamili na wataendelea kuwa na conscious milele?

Maana Yesu alimwambia yule mwizi mmoja aliyekuwa pembeni yake msalabani kuwa amin amin nakwambia leo hii utakuwa nami peponi, huu ni ushahidi kuwa kuna watu baada ya kuacha miili wako na conscious zao kamili na wanastarehe huko peponi (kama yule mwizi).

Sasa ukisema eti tukishaacha miili tunakuwa vague, Hebu lete andiko la kuthibitisha kuwa tunakuwa vague isije ikawa ni just mawazo yako tu mkuu yasiyothibitishwa na maandiko
Mkuu Yesu alikuwepo kabla ya kuja duniani Of course kma ROHO inayofunction kabisa Soma John 1. Ila sisi wanadamu tunakuwa functioning tukiwa Duniani tu na kabla ya hapo Roho zetu hazikuwa function mpaka zilipoumbwa tunapokuja duniani so mpaka hapo sisi tuna mwanzo ila Yesu hana mwanzo..... Tukubaliane hapa

2. Vague naongelea kuwa Roho inakuwepo ila HAIISHI mkuu.... Huwezi kufa alafu ukawa unazunguka unavyotaka kama Malaika hivi?? So Roho inakuwepo kusubiri hukumu ila haina function zaidi ya hapo.

Kuishi huku unafanya ukuhani imetajwa kwa Melchizedek na Yesu basi sijaona mwanadamu ambaye ameendelea kuwa kuhani baada ya kufa.

Kuhusu sisi kuwa vague soma 1 Peter 2:19 sasa hapo utasema tunaishi kweli??
 
Yohana : Mlango 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

Tangu kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo Mungu anayeongelewa ni Yesu.
Tofauti ya Yesu wa Agano la kale na Yesu wa sasa ni jinsi alivyojifunua kwetu.
Biblia nyingi zina vitabu 66 na miongoni mwa hivyo hakuna kitabu cha Enoch (hivyo siwezi kucomment lolote juu ya hiyo hadithi). Melchizedek na sifa zake kwanza alikuwa "kuhani milele, hana wazazi, hana mwanzo/mwisho wa siku, n.k." mwenye sifa hizi zoote ni Mungu (Yesu) ila kwavile agano la kale Yesu alikuwa hajafunuliwa lakini katika kukamilisha agano Mungu alilolifunga na Ibrahim ili kupitia kwa Ibrahim Yesu azaliwe kutokana na vizazi vyake ilitakiwa pawepo uduma ya ukuhani na kupokea sadaka ili ambariki kuweza kukamilisha mpango wa Mungu. Bila hiyo baraka ya kikuhani ya melchizedek Ibrahimu asingefika popote mbele ya Shetani anayejua mpango mzima (Wafilipi : Mlango 4
13 Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu). Kwahiyo huyo Melikisedeck alikuwa Yesu. Kumbuka Yesu anajifunua kama "Yehova, Mungu mwenyezi, n.k.)
Kwa ufahamu wangu naishia hapa mjadala uendelee!
Dini imekupofusha sana toka ktk vifungo ivo
 
Naendelea kupata elimu hapa,Huyo kwenye picha hapo juu ni nani?au ndio Melchzedeck mwenyewe?
Hyo ni painting ya Ethiopia ambayo Kitabu cha Book Of Enoch kipo Kwenye Bible yao ndio kinamuongelea Melchizedek kwa undani kidogo. Na kwa kuwa wao ni weusi hivyo wakatengeneza mfano wa Picha yake kuwa ni mtu mweusi sawa na wazungu tu movie ya Yesu waliweka mzungu mwenye nywele nyeupe (Blonde) ilihali hamna watu wa hivyo mashariki ya kati.
 
Mkuu Yesu alikuwepo kabla ya kuja duniani Of course kma ROHO inayofunction kabisa Soma John 1. Ila sisi wanadamu tunakuwa functioning tukiwa Duniani tu na kabla ya hapo Roho zetu hazikuwa function mpaka zilipoumbwa tunapokuja duniani so mpaka hapo sisi tuna mwanzo ila Yesu hana mwanzo..... Tukubaliane hapa

2. Vague naongelea kuwa Roho inakuwepo ila HAIISHI mkuu.... Huwezi kufa alafu ukawa unazunguka unavyotaka kama Malaika hivi?? So Roho inakuwepo kusubiri hukumu ila haina function zaidi ya hapo.

Kuishi huku unafanya ukuhani imetajwa kwa Melchizedek na Yesu basi sijaona mwanadamu ambaye ameendelea kuwa kuhani baada ya kufa.

Kuhusu sisi kuwa vague soma 1 Peter 2:19 sasa hapo utasema tunaishi kweli??

Mkuu , huyo mwizi aliyekuwa msalabani pembeni mwa Yesu alipopewa ahadi kuwa angekuwa peponi na Yesu jioni ile humo peponi angekuwemo bila kujitambua?. Maana naye aliuliwa msalabani na alizikwa kama wanavyozikwa wafu wengine.

Pili Elia huko aliko yuko vague?
Maana Elia hajawahi kufa
 
Melkizedeck aliekutana na ibrahim na kupokea fungu lakumi
Biblia inasema hakuwa na mwanzo wala mwisho hakuwa na baba wala mama.
Melkizedek anatajwa kuwa ni mungu alievaa umbo la mwanadamu.
Akamwambia ibrahim nimepanga kwenda kuangamiza sodoma na gomora ila ww rafiki yangu sitakuficha hili.
Anatajwa pia kama mfalme wa amani(salem).


Waebrania 7

Achana na hizo stori na izo picha za kubuniwa.
Melkizedek apionekana kabla hata ya kina daudi isaka,yakobo na wengine wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom