Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Hivi kwa mujibu wa maandiko Yesu si ni mwana wa Mungu, vipi tena inakuwaje mnasema hana baba?
Mfano maandiko yanasema:
"Na kwa namna hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa MWANA WAKE WA PEKEE ili kila atakayemuamini asipotee"
"Mahali pengine yanasema:
Baba mtukuze Mwanao na mwanao naye akutukuze....."
"Sehemu nyingine panasema, Huyu ni MWANANGU mpendwa niliyependezwa naye.."
Sasa ni andiko gani kwenye Biblia linasema Melkizedeki ana baba?
Kama Yesu ndiye Melkizedeki basi Yesu hana baba kwa hiyo dhana ya Kuwa Yesu ni mwana wa Mungu inavunjika
Na kama Yesu ni mwana Pekee wa Mungu basi Yesu siyo Melkizedeki maana Melkizedeki hana baba
Mfano maandiko yanasema:
"Na kwa namna hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa MWANA WAKE WA PEKEE ili kila atakayemuamini asipotee"
"Mahali pengine yanasema:
Baba mtukuze Mwanao na mwanao naye akutukuze....."
"Sehemu nyingine panasema, Huyu ni MWANANGU mpendwa niliyependezwa naye.."
Sasa ni andiko gani kwenye Biblia linasema Melkizedeki ana baba?
Kama Yesu ndiye Melkizedeki basi Yesu hana baba kwa hiyo dhana ya Kuwa Yesu ni mwana wa Mungu inavunjika
Na kama Yesu ni mwana Pekee wa Mungu basi Yesu siyo Melkizedeki maana Melkizedeki hana baba