Meja Jenerali Benjamin Noah Msuya

Meja Jenerali Benjamin Noah Msuya

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
29,878
Reaction score
34,037
Ugweno, Mwanga
Kilimanjaro
Tanzania

HISTORIA YA SHUJAA WAUGWENO WILAYA MWANGA, ALIYEITUMIKIA TANZANIA


View: https://m.youtube.com/watch?v=0cM3JTfPQpc

Ugweno Mwanga milimani mkoani Kilimanjaro wafungua Makumbusho maalum kuhifadhi historia. Katika Makumbusho hiyo ya kata ya Kifula Ugweno wilayani Mwanga, Tanzania hiyo kuna pia kumbukumbu ya meja jenerali Benjamin Noah Msuya.

MEJA JENERALI MSUYA NI NANI?
Mwaka 1979, Jenerali Msuya aliongoza operesheni maalum majeshi ya TPDF / JWTZ ya Tanzania kuingia nchini Uganda wakati wa vita vya Kagera.

Chini ya uongozi wake wa operesheni mojawapo ya jeshi la JWTZ kati ya nyingi vilizofanywa na jeshi la Tanzania katika Vita ya Kagera, aliudhibiti mji wa Kampala na kumuondoa madarakani kiongozi wa nchi hiyo, jenerali Idi Amini Dada.

Siri ya meja jenerali Benjamin Msuya kubeba mkuki aliouchukua bila kuuweka chini baada ya kuuchukua kutoka kwa familia ya wana wa mkoa wa Kagera walioathirika na uvamizi wa nduli Iddi Amin Dada waelezewa kwa kina, na mkuki huo ulibeba ujumbe gani katika vita hiyo ya Kagera

Baada ya Idi Amini kukimbia, Meja Jenerali Msuya alitawala Uganda kwa siku tatu akisubiri kumwapisha Yusuf Lule kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

Yusuf Lule hakwenda sawa katika utawala, Msuya alitakiwa kumtoa na kumwapisha Godfrey Binaisa na baadaye Paulo Muwanga ndipo Msuya aliporejea nchini.

Meja jenerali Benjamin Noah Msuya aliyezawadiwa nishani kadhaa za kijeshi, baada ya utumishi wa muda mrefu uliotukuka alistaafu utumishi wake katika jeshi kwa mujibu wa sheria mwaka 2001.
 
Halafu sifa zote za kuifanyia mema nchi mnataka ziende kwa bwana yule a.k.a mungu mtu.
 
Kuna mdau aliwahigi kuniadisia kwamba Jenerali Msuya aliwatelekeza mabodigadi wake mjini Kampala.
 
..Lt.Col.Benjamin Msuya alikuwa mtawala wa Uganda toka Iddi Amin alipoangushwa mpaka Prof.Yussuf Lule alipoapishwa kuwa Raisi wa Uganda.
 
..Lt.Col.Benjamin Msuya alikuwa mtawala wa Uganda toka Iddi Amin alipoangushwa mpaka Prof.Yussuf Lule alipoapishwa kuwa Raisi wa Uganda.
Orodha ya watanganyika waliowahi kuwa na ushawishi kwenye nafasi za juu kwa nchi jirani ni kubwa mno na inasikitisha na kuogopesha, hasa ukizingatia leo Tanganyika hata haipo kwenye ramani na imepoteza mwelekeo.

1. Msuya-Uganda
2. Ngwilizi- Ushelisheli, Msumbiji
3. Mahiga- Somalia
4. Kuna yule bwana alikuwa mshauri wa ulinzi wa Kabila Sr
5. Zambia inasemeka yule Marehemu kabla hajafariki alikuwa ni mtu wa TZ.
6. Malawi nako kulikuwa na mapandikizi mengi nafasi za juu kabisa.

Tanganyika ingekuwa ni nchi ya watu wenye AMBITION ingekuwa ni moja ya nchi tajiri, kubwa na yenye ushawishi mkubwa mno huu ukanda wote wa Afrika.
 
Vyoo tu vimewashinda, hizo hela za sanamu mtazitoa wapi ?
Sasa umeruka, unaleta kejeli na hoja mufilisi.

Unataka kutuambia Watanganyika walikuwa wanakunya kwenye mabeseni??

Utanganyika wako una mashaka sana aise.



Ujue tu, sanamu zitajengwa na hata ya Msuya itajengwa.
 
Sasa umeruka, unaleta kejeli na hoja mufilisi.

Unataka kutuambia Watanganyika walikuwa wanakunya kwenye mabeseni??

Utanganyika wako una mashaka sana aise.



Ujue tu, sanamu zitajengwa na hata ya Msuya itajengwa.
You're a fanatic worshipper of state power.

Unaandika utadhani funza zimejaa kwenye vidole.

Wewe ukitaka jenga hadi sanamu la Jecha, sema tatizo hela hazipo.
 
Baada ya Idi Amini kukimbia, Meja Jenerali Msuya alitawala Uganda kwa siku tatu akisubiri kumwapisha Yusuf Lule kuwa rais mpya wa nchi hiyo

TOKA MAKTABA :
11 Machi 2018

MEJA GENERAL MSUYA NA RAIS MPYA WA UGANDA

Tarehe 29 Julai 1979 Majeshi ya Tanzania wakiwa kwenye gwaride la kusherehekea kutimiza malengo ya kumngoa nduli Iddi Amin Dada wakijiandaa kuondoka Uganda .

Rais Mpya wa Uganda, Godfrey Lukongwa Binaisa na Rais wa Tanzania, Julius Nyerere, wanahudhuria sherehe hizo mjini Kampala


View: https://m.youtube.com/watch?v=0nyLTT3OB3E
 
No. 5 alikuwa levy mwanawasa alikuwa mtiss Zambia wakamchomolea betri
Halafu humu kuna kigenge cha Wanyarwanda huwa wanaamini kabisa kwamba bila Paul Kagame kusaidiwa na CIA, MI6 na MOSSAD anaweza kuitunishia misuli Tanzania. Kiukweli changamoto yetu kubwa ni ile MIZEE YA COLD WAR na vijana wao wa kuanzia mwaka 1992 mpaka sasa, kina Kipilimba, Massoro, Mombo ambao hawana AMBITION.

Wao baada ya kuingia TISS na TPDF na kuwa mabalozi, kupewa makasri OYSTERBAY, MASAKI na UNUNIO basi wanaona wameshafika na kuridhika. Watoto wao wakiwa BOT, PRESIDENT'S OFFICE, TRA, PCCB, TISS na PT basi akili zao ndiyo huwa zinaishia hapo, na hawawezi kuwaza zaidi. Hizi koo ndiyo inabidi zipelekwe Gulag hata tukichukua wachache tukawatoa sadaka kutishia wengine, nchi itarudi kwenye mstari.

Ukianza kuangalia vizuri, asilimia zaidi ya 80% ya maraisi wa SADC wameshawahi kuwa chini ya TISS na MI na handlers na trainers wao ni wazee wa hapahapa. Kiufupi, tunawafahamu nje-ndani ila ndiyo hivyo, tumeshiba pesa za ubalozi na vimemo na vya watoto wetu kupenyezwa BoT na TISS.

Unaweza kusema yote, ila Imran Kombe, Benard Membe, Edward Lowassa, Edward Sokoine, Mark Mwandosya, Salim Ahmed Salim ni kati ya Bureaucrats wachache hapa nchini Tanzania ambao walishawahi kuwa Extreme Ambitious, about positioning Tanzania in an undisputable position within the African region and beyond.

Leo vijana wa TISS, MI na CCM Bureaucrats are in defense formation kwasababu wengi ni Phobes with no ideological rooting. Laiti watawala wa TZ wangefahamu mtaji wa kisiasa ambao nchi ya Tanzania inao (Kiulinzi, Kidiplomasia, Kiutamaduni) sidhani kama kuna nchi ingethubutu hata kutupigia kelele hapa Afrika. Tanzania ndiyo ingekuwa Rwanda ya Kagame au Uganda ya Museveni, basi leo hii tungekuwa tunazungumza mengine hapa Afrika.

Ila ndiyo hivyo tena, Tanzanians chose to embrace ignorance and complacency.
 
Back
Top Bottom