Mei Mosi ya 2023 imepooza! Shida nini?

Hii katuni inaweza kuwa na Uhusiano na Mei Mosi ya mwaka 2023?
 

Attachments

  • EFCAF7BA-8A76-46C5-86E5-C4606B95546F.jpeg
    EFCAF7BA-8A76-46C5-86E5-C4606B95546F.jpeg
    78.8 KB · Views: 1
Hatahivyo majogoo haya, mihogo inayochemka mingine chelema, Chai haina sukari, Bodaboda bado anafukuza upepo simu haisikiki vizuri, waifu kanuna....hela ya kalamu huna ujiandikie hata kaujumbe kwenye karatasi inayosema "Bei Zimefumuka" au Mfumuko wa bei
"Tozo Karahaa" "Umeme Kalasi Nyumbani na Uwanjani, Awajibikwe"(hiyo makusudi)
Tutajua baadae.....

Imepooza lakini
 
Habari za Asubuhi wapendwa!

Binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) ya mwaka 2023 kupoa, hakuna ata matangazo wala promo lolote! Kama vile hamna kitu kabisa!

Wafanyakazi tatizo nini?
Hata Mimi na shangaa hakuna hata amusha amusha au slogani, ya Nini wafanyakazi wanataka mwakahuu Hapo ndo ninapohitimisha kuwa vyama vya wafanyakazi vinaendeshwa na serikali.
 
Mimi naifatilia mei mosi ya majirani zetu Kenya live from uhuru garden.
 
Back
Top Bottom