Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Megan young kutoka ufilipino ndio mshindi mpya wa miss world 2013.watanzania ata 20 bora atupo .Bado Kazi ipo sana kwa Tanzania kuchagua miss bora atakaotuwakilisha vyema kwenye mashindano aya
mashindano hayo yamefanyika usiku wa leo jumamosi uko Indonesia japo ulipata upinzani mkubwa toka kwa baadhi ya vikundi vya kiislam sababu asilimia kubwa ya waindonesia ni waislam,ulinzi uliimarishwa sana.
Nilichojifunza kuna Aja kubwa ya kuchagua miss mwenye kipaji cha Sanaa ili aweze kuonekana sana.
Tano bora ni :
Marine Lorphelin toka France
Carranzar Okailey toka Ghana
Sancler Frantz Konzen wa Brazil
Elena Ibarbia wa Spain
mashindano hayo yamefanyika usiku wa leo jumamosi uko Indonesia japo ulipata upinzani mkubwa toka kwa baadhi ya vikundi vya kiislam sababu asilimia kubwa ya waindonesia ni waislam,ulinzi uliimarishwa sana.
Nilichojifunza kuna Aja kubwa ya kuchagua miss mwenye kipaji cha Sanaa ili aweze kuonekana sana.
Tano bora ni :
Marine Lorphelin toka France
Carranzar Okailey toka Ghana
Sancler Frantz Konzen wa Brazil
Elena Ibarbia wa Spain