Mega Thread: Safari za Rais Magufuli nje ya Nchi

Mega Thread: Safari za Rais Magufuli nje ya Nchi

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,028
Reaction score
59,657
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.

Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
 
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.
Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
Kwa kifupi hakuna rais atakayevunja record ya Kikwete.

mkuu Saint Ivuga, rais JK amevunja rekodi ya marais wote 3 ukiwajumlisha pamoja. jk ni noumer!
 
Last edited by a moderator:
mkuu Saint Ivuga, rais JK amevunja rekodi ya marais wote 3 ukiwajumlisha pamoja. jk ni noumer!

Kiongozi ni kweli kabisa,
Na huyu jamaa anaweza asivunje hata record ya mwalimu Nyerere.
 
Last edited by a moderator:
Hadi tarehe kama hii alietoka alishasafiri Mara ngapi?
 
Rekodi ya Nyerere unaijua lakini?
China peke yake Nyerere alienda mara 13...
na alitembea nchi nyingi pia
Nyerere alitembea nchi nyingi kuliko Mwinyi na Mkapa....

kumbuka alitawala miaka 25
 
Katika miaka yake kumi kama Rais wa Tanzania, JK alienda mara ngapi Marekani peke yake?
 
Punde huyo Marekani na china.kumbuka kunamikataba 17 ya Siri.gess

swissme
 
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.
Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
Kwa kifupi hakuna rais atakayevunja record ya Kikwete.

Fast jet itakufa sasa
 
Kikwete hajaacha Legacy yoyote ningekuwa mwanae ningeona aibu kwa niaba yake. Magufuli hana shobo za kuzurura duniani anapiga kazi.
 
mzee wa msoga hivi bado anasafirii
Majuzi tu alikuwa pale Addis Ababa Ethiopia, sina uhakika kama kesharejea hapa nchini, kwa kuwa hivi sasa habari zake hazina tena mvuto wa kuandikwa na vyombo vya habari.

Hivi sasa talk of the town ambayo wakati wote habari zao ndiyo zinazohit headlines ni 'M-Squire' ambao ni double M ya Magufuli + Majaliwa.
 
Majuzi tu alikuwa pale Addis Ababa Ethiopia, sina uhakika kama kesharejea hapa nchini, kwa kuwa hivi sasa habari zake hazina tena mvuto wa kuandikwa na vyombo vya habari.

Hivi sasa talk of the town ambayo wakati wote habari zao ndiyo zinazohit headlines ni 'M-Squire' ambao ni double M ya Magufuli + Majaliwa.

Unakumbuka the so called Boys II Men? mara baada ya utawala wa awamu ya nne? Haya ni majina walipachikwa JK na EL baada ya kuingia madarakani.
Ki maono kasi ya wakuu hawa M-square kama ulivyowaita ni nzuri na inatia moyo. Tuwape muda ili tuje kuwapima na kasi yao hii baada ya miaka mitano.
 
Sidhani kama alimfikia Obasanjo

Hili ni jukwaa la intellectuals usidhani kuwa na facts tu basi.for your information Kikwete kawazidi marais wote kwa kuzurura duniani. amemzidi hata Mgabe aliyekaa madarakani miaka 28.
 
inasemekana ktk miaka yake yote ya urais mwalm nyerere aliwahi safiri nje ya nchi takribani mara 60 tu
 
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.
Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
Kwa kifupi hakuna rais atakayevunja record ya Kikwete.

Una chuki binafsi na jk wewe siyo bure
 
Hili ni jukwaa la intellectuals usidhani kuwa na facts tu basi.for your information Kikwete kawazidi marais wote kwa kuzurura duniani. amemzidi hata Mgabe aliyekaa madarakani miaka 28.

Hapo ndipo ulipo haribu kwa kuminganisha na mgabe ambaye ni rais mtengwa kwa kupindi kirefu
 
Back
Top Bottom