Mega Thread: Safari za Rais Magufuli nje ya Nchi

Mega Thread: Safari za Rais Magufuli nje ya Nchi

Sina takwimu vizuri ila nilikuta mahali wana calculate inaonyesha Mkwere miaka minne na nusu ama mitano (hesabu siku) katumia kwa safari za nje na miaka nitano mingine ndio aliyoishi nchini. Siku ambapo safari zake zilinikera na kutoa machozi ni pale madktari walipogoma na vifo vya watanzania kuzidi kila kukicha halafu yy anapepea tu wala kusema lolote hana ila alipokufa nguli wetu wa filamu Kanumba eti kaahirisha safari cjui ilikuwa ya china ama india kaenda mcbani. This man bwana.............. (every one has his/her identity it depend with.....)
 
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.
Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
Kwa kifupi hakuna rais atakayevunja record ya Kikwete.


Nafikiri Kikwete alikuwa a sociopath?.wewe mtu gani anajipangia kwenda kubembea Jamaica na kuendesha magari ya watoto wakati Dar Live yapo? Tena anakwenda na kundi la watu na kukaa hoteli ya kitalii kwa hela za wananchi tena alikuwa anachukua hata useless people. Shughuli ambazo inabidi afanye balozi wa Tanzania nje ya nchi Kikwete alikuwa anakwenda yeye mpaka mikutano ya kijinga alitaka ahudhurie yeye. Miaka 10 ya remote control nchi imeyumba sana.
 
Sina takwimu vizuri ila nilikuta mahali wana calculate inaonyesha Mkwere miaka minne na nusu ama mitano (hesabu siku) katumia kwa safari za nje na miaka nitano mingine ndio aliyoishi nchini. Siku ambapo safari zake zilinikera na kutoa machozi ni pale madktari walipogoma na vifo vya watanzania kuzidi kila kukicha halafu yy anapepea tu wala kusema lolote hana ila alipokufa nguli wetu wa filamu Kanumba eti kaahirisha safari cjui ilikuwa ya china ama india kaenda mcbani. This man bwana.............. (every one has his/her own identity it depend with.....)
 
mwacheni mzee kikwete apumzike na ajilie pensheni yake kwa uhuru..mmemzodoa kwa kipindi chote cha miaka 10,hamjaridhika tu?

Apumzike nini wakati yeye bado ni mwenyekiti, at least angestaafu ili kuachana na speed ya huyu magufuli ambayo naona haiwezi!
 
Angekuwa mzee mstaafu mkutano wa China na Africa unaoanza leo nchini South Africa watu wangeshajikombea dollar mifukoni na hapa wangekuwa wanakula maisha kwenye hotel za kifahari mjini Jo'berg. Lakini mzee wa BHUGALI ah!!! yuko zake magogoni anapanga safu ya kuiongoza nchi. Lakini MSUKUMA usifanye makubwa sana ukamdhalilisha MTANI wako MKWERE bana au siyo??? Natania tu japo nyie ni watani
 
Mkuu Nyerere hata angekwenda China mara 50 alituletea TAZARA huyu Vasco kaenda Jamaika kubembea,Canada kupanda gari la mafarasi duh yaani unaweza kuchoka.


Rekodi ya Nyerere unaijua lakini?
China peke yake Nyerere alienda mara 13...
na alitembea nchi nyingi pia
Nyerere alitembea nchi nyingi kuliko Mwinyi na Mkapa....

kumbuka alitawala miaka 25
 
mkwere ni wa kumuombea tu kwa Mungu amsamehe makosa yake lakini kiukweli alitukosea sana watanzania
 
Hadi tarehe kama hii alietoka alishasafiri Mara ngapi?

Kama mara tatu hivi, ya kwanza alienda 'kujitambulisha' nchi za scandinavia, ya pili alihudhuri kikao cha AU na tatu alienda south africa kufanya mazungumzo ya namna Tz inaweza 'kushirikiana kiuchumi' na nchi hiyo.
 
Kikwete hakuwa kiongozi bali jambazi ambalo liliwekwa pale na mafioso kuhakikisha rasilimali za nchi zinamalizwa, hivi ni kiongozi gani ambaye ndani ya mwezi mmoja tangu aondoke madarakani uozo wote alioufanya unawekwa hadharani tena pasipo shaka yoyote kuwa alikuwa mhusika wa moja kwa moja? Ndani ya mwezi mmoja aina ya utawala wake na mrithi wake unatofautiana kama mbingu na nchi na ikizingatiwa hawa wote wanatoka chama kimoja na sera zao ni moja? Hakika nchi hii haikuwa na kiongozi kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Mkuu umetumia lugha Kali isiyo na staha bila ulazima wowote.Ungeweza kukosoa kwa kutumia lugha ya kiungwana.Kumuita Rais mstaafu jambazi sio jambo sahihi maana sina hakika iwapo unaweza kuthibitisha tuhuma hizo.
 
Sio sahihi kuitana hivyo, tuendako hatutaweza kuvumiliana. Mungu katutofaitisha ktk vitu vingi, uwezo wa kufikiri,kuongoza nk. Huo ndo ulikuw uwezo wa jk, yawezekana alikuwa na nia njema but uwezo wake ukawa ndo huo. Kumwita jambazi siungi mkono hoja ( mimi ukawa
 
attachment.php
 

Attachments

  • IMG_20151204_130746.png
    IMG_20151204_130746.png
    111.8 KB · Views: 516
Simshauri JPM asafiri kwa sasa, ngoja kwanza asafishe hili zizi maana lilikuwa na uchafu kila kona.
 
"....tulikuwa tunapishana angani utadhani nyumbani kunawaka moto.." Maneno ya baba mdogo. Duhh! Hata washirika wake wanamnanga leo!! Siasa ni unafiki
 
hivi kuna mwenye picha ya jk aliyopiga na stivini siga?
 
Back
Top Bottom