mshamba mchangamfu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 338
- 91
Ukiamua kuendesha nchi kwa bakuli lazima ulitembeze huwez kukwepa kusafiri
Hili ni jukwaa la intellectuals usidhani kuwa na facts tu basi.for your information Kikwete kawazidi marais wote kwa kuzurura duniani. amemzidi hata Mgabe aliyekaa madarakani miaka 28.
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano mpaka sasa hivi hajasafiri nje ya nchi hata mara moja.
Hapa tutaendelea kupeana updates na kulinganisha safari zake na za Nyerere.
Kwa kifupi hakuna rais atakayevunja record ya Kikwete.
Waulize bongo fleza wanjua legacy ya JK.:angry:Kikwete hajaacha Legacy yoyote ningekuwa mwanae ningeona aibu kwa niaba yake. Magufuli hana shobo za kuzurura duniani anapiga kazi.
mkuu Saint Ivuga, rais JK amevunja rekodi ya marais wote 3 ukiwajumlisha pamoja. jk ni noumer!
Na duniani kuna Rais anayemfikia kweli huyu jamaa? Achana na Musa na Waisraeli wakitoka Misri
Rekodi ya Nyerere unaijua lakini?
China peke yake Nyerere alienda mara 13...
na alitembea nchi nyingi pia
Nyerere alitembea nchi nyingi kuliko Mwinyi na Mkapa....
kumbuka alitawala miaka 25