Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,688
- 106,809
Mate...;
Neuralphysiology ni somo linalojihusisha na jinsi neva zinavyotoa na kupokea taarifa hujikita zaidi katika ufanyaji kazi wa mfumo wa fahamu wa mwili. Autonomic Nervous System (ANS) Ni sehemu ya mfumo wa fahamu ambao huratibu matendo yanayofanyika ukiwa hujitambui au ukiwa umelala, pia huratibu shughuli mbalimbali za mwili kama vile mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula, kutanuka na kusinyaa kwa mboni,hamu ya kufanya mapenzi nk nk.
Lakini pia shughuli yake kubwa ni kuratibu tezi ya Adrenali Kupambana au kukimbia pindi linapotokea tatizo Fulani. Kwa lugha rahisi Emotions vile mtu anavyojisikia, Saikolojia inasema kwamba Emotions zinasababishwa na mchanganyiko wa Homoni na unconscious mind, saikolojia inaongeza kua Emotions ni mambo ya kibailojia ambayo yanahusiana na mfumo wa fahamu na mabadiliko ya Neuralphysiolojia yahusianayo na mawazo,hisia,majibu ya tabia na kiwango cha raha au karaha..….Hivyo basi mambo yote hapo juu yanakua yanaratibiwa na mfumo wa Autonomic Nervous System (ANS) katika mwili wa mwanadamu.
Emotions zinmegawanywa katika makundi makuu manne ambayo kila moja imebeba mambo mawili ambayo hukinzana, makundi hayo ni:- Joy (furaha)/sadness(huzuni) Acceptance(kukubali-liwa)/disgust(kukataa-liwa), Anger (hasira)/fear(uoga), Surprise(mshituko-kizo)/anticipation(kutegemea). Lakini pia kuna aina zingine nyiingi za emotions kama vile anxiety, aggression, boredom, doubt, apathy, empathy, envy, embarrassment, frustration, gratitude, grief, guilt, hatred, hope, horror, hostility, hunger, loneliness, love, pride, shock, shame, suffering, sympathy, nk nk.
NB: Japo kwa tunaogonga yai la Kiswahili tafsiri ya neno Emotions na Feelings vyote vina maana moja ambapo ni Hisia, ila kwa lugha ya wenzetu maneno haya yana tofauti pana hasa kwenye upande wa saikolojia hivyo jitahidi usiyachanganye. Emotions ni mwitio wa mwili ambao unakua zimeamrishwa kupitia Neuraltransmitters na homoni zilizotolewa na ubongo. Ila Feelings ni ile experience unayoipata baada ya kuwa na emotional. So technically feeling zinatengenezwa na emotion kwa lugha rahisi tunaweza kusema feelings ni Output ya emotions.
Mwaka 334BC eneo Fulani liitwalo Citium katika jiji la Cyprus nchini Ugiriki (ya zamani) alizaliwa bwana mmoja anaitwa Zeno, kwakua nyakati hizo waliwaita watu majina yao kutokana na sehemu walizozaliwa kama vile Yesu wa Nazareth, Thomas wa Akwino, Francis wa Asizi nk nk basi nae jamaa huyu aliitwa Zeno wa Citium. Huyu bwana alikua mwanafalsafa aliyetumia akili yake vizuri katika kuwaza na kutatua changamoto zilizo mkabili,Huyu bwana aliigawa falsafa katika makundi matatu ambayo ni logic,Physics na Ethics.
Stoicism
Zeno alifungua shule yake ya falsafa akawa anawafundisha watu flasafa yake ya stoicism ambayo ilikua na misingi ya watangulizi wake ambao ni plato, chrysspus (huyu chryspuss alikufa kwa kucheka, alitunga kichekesho/joke kikamchekesha akacheka hadi akafariki…sijui ndio akili nyingi mpaka unakua chizi).
Watu wanaofuata falsafa hii ya stoicism (stoic) wanaamini kwamba mwanadamu hutakiwi kujishikiza au kuendeshwa na emotions hizo nilizozitaja hapo juu yaani usiwe nafuraha,usiwe na huzuni,usiwe na hasira, usitegee kitu,usijikubali, usijikatae au kulazimisha kukubalika katika jamii nk nk. Wanaamini kwamba mwanadamu hutakiwi kujisumbua na vitu ambavyo wewe huwezi kuvi-Contorl inatakiwa uache mazingira/nature ndio ifanye kazi yake, kama itakuletea furaha basi chukua,kama itakuletea huzuni chukua yaani upokee chochote kile ambacho mazingira itakuletea.
Watu hawa nao hua ni wafiasi wa ile theory inayosema kwamba Attaching to material is detachement to the materials hivyo basi wao hawajihangaishi kutafuta pesa wala kujilimbikizia mali maana wanasema pesa na mali nyingi haziwezi kukupa furaha wala kupendwa sana hakuwezi kukupa furaha nk nk. Wao wanachojali zaidi ni kuheshimu Nature na kuiacha ifanye kazi maishani mwao kadri ipendavyo, japo stoic hawakatazwi kua na mali bali mali hizo ziwe zimekuja maishani mwako automatically kwa ruhusu ya Power of Nature maana baadhi ya wafuasi wa falsafa hii ambao ni maarufu walikua na mali nyingi tu kama vile Marcus aurelius aliyekua mtawala wa Roma na Seneca aliyekua milionea.
So thes guys wanachofanya ni ku-control Autonomic Nervous System zisiweze kuratibu uzalishaji wa emotions kwa mtu, katika mada zangu kadhaa nilieleza kwamba unaweza ku-draw your inner strength to face or to heal the body. Hivyo basi kwa kutumia reolientation of Soul wanaweza kuconvice ubongo uweze kuratibu emotions zao ziwe kadri ya vile wao wanapenda kua.
Lakini pia kuna watu tu by default wanazaliwa wao hawapendi mali wala kujishikiza kwenye material things yoyote…….wao wako tayari kupokea chochote kile tu ambacho nature itawapatia maishani mwao, binafsi naona hii ni falsafa bora ya kuishi nayo maishani maana ukiishi hivi huwezi kua na tama ya mali,madaraka wala umaarufu ambavyo ni vitu vilivyopoteza uhai wa wengi na kusababisha wengi kukosa haki zao kutoka kwenye mamlaka za ulimwengu.
Yafaa nini kupata mali zote ulimwenguni mwenyewe huku wenzio wakiwa wanataabu pomoni na matatizo yasiyo isha. Ila kwa mwanaume hii hali ina madhara yake maana utatakiwa kuwa na familia ambayo uta-belong to, and belonging means to provide,care,responsibility,duty,lead,protectnk nk Unless labda uamue kutokua na familia kabisa uwe wewe kama wewe. Ukifuatilia wanafalsafa waliofuta falsafa hii wengi walikua hawana familia maana wanaamini mke na watoto nayo ni material that a man possess
Unlike Stoicism kuna hii falsafa nyingine inaitwa Cynicism (maana ya Cynic ni mtu aishie kama mbwa/homeless au yahaya), wafuasi wa falsafa hii wanafundisha kwamba mwanadamu unatakiwa usiwe na tama yoyote ya kupata furaha wala hutakiwi kuwa na mali zozote maishani maana wanaamini kua kama unataka kitu Fulani ukikipata utataka kingine, ukikipata utataka kingine hivyo hivyo maisha yako yote itakua hivo. This is correct maana maishani mwetu kila mtu hua halidhiki na kile alichonacho akipata kile anachotamani basi atataka kingine tena zaidi ya kile..n.dio maana kuna msemo unasema pesa haishi utamu.
Wanafundisha kwamba kama unataka furaha maishani basi hutakiwi kua na tama ya vitu au kujishikiza katika vitu/materials yoyote katika dunia hii, ishi maisha safi ya kawaida tu kwa kujali wengine bila kua na tama ya vitu maana furaha ya maisha haipo kwenye mali wala pesa since pesa sio kila kitu maishani.
Kuna jamaa mmoja alikua anaitwa Crates wa Thebe huyu bwana alipokua mfuasi wa falsafa ya cynicism alitupa mali zake zote baharini, kuna mwanamke mmoja aliitwa hipprochia alimpenda huyu bwana na maisha yake haya haya ya kutokujishikiza katika tamaa ya vitu/mali hivyo basi huyu mwanamke anye alitelekeza mali zake kutoka kwenye familia yake akaoana na jamaa wakaishi maisha duni.
Naamini humu jukwaani wapo watu wa namna hii so take this top as your shot to shout out and come out – to meet some peoples like you, Stoic.
-Da'Vinci
=======×××=====
Related Topics
Neuralphysiology ni somo linalojihusisha na jinsi neva zinavyotoa na kupokea taarifa hujikita zaidi katika ufanyaji kazi wa mfumo wa fahamu wa mwili. Autonomic Nervous System (ANS) Ni sehemu ya mfumo wa fahamu ambao huratibu matendo yanayofanyika ukiwa hujitambui au ukiwa umelala, pia huratibu shughuli mbalimbali za mwili kama vile mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula, kutanuka na kusinyaa kwa mboni,hamu ya kufanya mapenzi nk nk.
Lakini pia shughuli yake kubwa ni kuratibu tezi ya Adrenali Kupambana au kukimbia pindi linapotokea tatizo Fulani. Kwa lugha rahisi Emotions vile mtu anavyojisikia, Saikolojia inasema kwamba Emotions zinasababishwa na mchanganyiko wa Homoni na unconscious mind, saikolojia inaongeza kua Emotions ni mambo ya kibailojia ambayo yanahusiana na mfumo wa fahamu na mabadiliko ya Neuralphysiolojia yahusianayo na mawazo,hisia,majibu ya tabia na kiwango cha raha au karaha..….Hivyo basi mambo yote hapo juu yanakua yanaratibiwa na mfumo wa Autonomic Nervous System (ANS) katika mwili wa mwanadamu.
Emotions zinmegawanywa katika makundi makuu manne ambayo kila moja imebeba mambo mawili ambayo hukinzana, makundi hayo ni:- Joy (furaha)/sadness(huzuni) Acceptance(kukubali-liwa)/disgust(kukataa-liwa), Anger (hasira)/fear(uoga), Surprise(mshituko-kizo)/anticipation(kutegemea). Lakini pia kuna aina zingine nyiingi za emotions kama vile anxiety, aggression, boredom, doubt, apathy, empathy, envy, embarrassment, frustration, gratitude, grief, guilt, hatred, hope, horror, hostility, hunger, loneliness, love, pride, shock, shame, suffering, sympathy, nk nk.
NB: Japo kwa tunaogonga yai la Kiswahili tafsiri ya neno Emotions na Feelings vyote vina maana moja ambapo ni Hisia, ila kwa lugha ya wenzetu maneno haya yana tofauti pana hasa kwenye upande wa saikolojia hivyo jitahidi usiyachanganye. Emotions ni mwitio wa mwili ambao unakua zimeamrishwa kupitia Neuraltransmitters na homoni zilizotolewa na ubongo. Ila Feelings ni ile experience unayoipata baada ya kuwa na emotional. So technically feeling zinatengenezwa na emotion kwa lugha rahisi tunaweza kusema feelings ni Output ya emotions.
Mwaka 334BC eneo Fulani liitwalo Citium katika jiji la Cyprus nchini Ugiriki (ya zamani) alizaliwa bwana mmoja anaitwa Zeno, kwakua nyakati hizo waliwaita watu majina yao kutokana na sehemu walizozaliwa kama vile Yesu wa Nazareth, Thomas wa Akwino, Francis wa Asizi nk nk basi nae jamaa huyu aliitwa Zeno wa Citium. Huyu bwana alikua mwanafalsafa aliyetumia akili yake vizuri katika kuwaza na kutatua changamoto zilizo mkabili,Huyu bwana aliigawa falsafa katika makundi matatu ambayo ni logic,Physics na Ethics.
Stoicism
Zeno alifungua shule yake ya falsafa akawa anawafundisha watu flasafa yake ya stoicism ambayo ilikua na misingi ya watangulizi wake ambao ni plato, chrysspus (huyu chryspuss alikufa kwa kucheka, alitunga kichekesho/joke kikamchekesha akacheka hadi akafariki…sijui ndio akili nyingi mpaka unakua chizi).
Watu wanaofuata falsafa hii ya stoicism (stoic) wanaamini kwamba mwanadamu hutakiwi kujishikiza au kuendeshwa na emotions hizo nilizozitaja hapo juu yaani usiwe nafuraha,usiwe na huzuni,usiwe na hasira, usitegee kitu,usijikubali, usijikatae au kulazimisha kukubalika katika jamii nk nk. Wanaamini kwamba mwanadamu hutakiwi kujisumbua na vitu ambavyo wewe huwezi kuvi-Contorl inatakiwa uache mazingira/nature ndio ifanye kazi yake, kama itakuletea furaha basi chukua,kama itakuletea huzuni chukua yaani upokee chochote kile ambacho mazingira itakuletea.
Watu hawa nao hua ni wafiasi wa ile theory inayosema kwamba Attaching to material is detachement to the materials hivyo basi wao hawajihangaishi kutafuta pesa wala kujilimbikizia mali maana wanasema pesa na mali nyingi haziwezi kukupa furaha wala kupendwa sana hakuwezi kukupa furaha nk nk. Wao wanachojali zaidi ni kuheshimu Nature na kuiacha ifanye kazi maishani mwao kadri ipendavyo, japo stoic hawakatazwi kua na mali bali mali hizo ziwe zimekuja maishani mwako automatically kwa ruhusu ya Power of Nature maana baadhi ya wafuasi wa falsafa hii ambao ni maarufu walikua na mali nyingi tu kama vile Marcus aurelius aliyekua mtawala wa Roma na Seneca aliyekua milionea.
So thes guys wanachofanya ni ku-control Autonomic Nervous System zisiweze kuratibu uzalishaji wa emotions kwa mtu, katika mada zangu kadhaa nilieleza kwamba unaweza ku-draw your inner strength to face or to heal the body. Hivyo basi kwa kutumia reolientation of Soul wanaweza kuconvice ubongo uweze kuratibu emotions zao ziwe kadri ya vile wao wanapenda kua.
Lakini pia kuna watu tu by default wanazaliwa wao hawapendi mali wala kujishikiza kwenye material things yoyote…….wao wako tayari kupokea chochote kile tu ambacho nature itawapatia maishani mwao, binafsi naona hii ni falsafa bora ya kuishi nayo maishani maana ukiishi hivi huwezi kua na tama ya mali,madaraka wala umaarufu ambavyo ni vitu vilivyopoteza uhai wa wengi na kusababisha wengi kukosa haki zao kutoka kwenye mamlaka za ulimwengu.
Yafaa nini kupata mali zote ulimwenguni mwenyewe huku wenzio wakiwa wanataabu pomoni na matatizo yasiyo isha. Ila kwa mwanaume hii hali ina madhara yake maana utatakiwa kuwa na familia ambayo uta-belong to, and belonging means to provide,care,responsibility,duty,lead,protectnk nk Unless labda uamue kutokua na familia kabisa uwe wewe kama wewe. Ukifuatilia wanafalsafa waliofuta falsafa hii wengi walikua hawana familia maana wanaamini mke na watoto nayo ni material that a man possess
Unlike Stoicism kuna hii falsafa nyingine inaitwa Cynicism (maana ya Cynic ni mtu aishie kama mbwa/homeless au yahaya), wafuasi wa falsafa hii wanafundisha kwamba mwanadamu unatakiwa usiwe na tama yoyote ya kupata furaha wala hutakiwi kuwa na mali zozote maishani maana wanaamini kua kama unataka kitu Fulani ukikipata utataka kingine, ukikipata utataka kingine hivyo hivyo maisha yako yote itakua hivo. This is correct maana maishani mwetu kila mtu hua halidhiki na kile alichonacho akipata kile anachotamani basi atataka kingine tena zaidi ya kile..n.dio maana kuna msemo unasema pesa haishi utamu.
Wanafundisha kwamba kama unataka furaha maishani basi hutakiwi kua na tama ya vitu au kujishikiza katika vitu/materials yoyote katika dunia hii, ishi maisha safi ya kawaida tu kwa kujali wengine bila kua na tama ya vitu maana furaha ya maisha haipo kwenye mali wala pesa since pesa sio kila kitu maishani.
Kuna jamaa mmoja alikua anaitwa Crates wa Thebe huyu bwana alipokua mfuasi wa falsafa ya cynicism alitupa mali zake zote baharini, kuna mwanamke mmoja aliitwa hipprochia alimpenda huyu bwana na maisha yake haya haya ya kutokujishikiza katika tamaa ya vitu/mali hivyo basi huyu mwanamke anye alitelekeza mali zake kutoka kwenye familia yake akaoana na jamaa wakaishi maisha duni.
Naamini humu jukwaani wapo watu wa namna hii so take this top as your shot to shout out and come out – to meet some peoples like you, Stoic.
-Da'Vinci
=======×××=====
Related Topics
Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini
Mates Inawezekana hua unajiuliza kwanini labda wachawi/waganga hua wanaweza kumpa utajiri mtu lakini wao wanabaki kwenye umaskini wa hali ya juu huku wateja wao wakineemeka na mali zao. Hawa watu hua ni smart sana kichwani na kiroho ,wanajua jinsi gani ulimwengu wa roho na huu tuishio...
www.jamiiforums.com
The Inner peace, ndio furaha ya kweli jifunze, maisha yako yawe ya furaha
Maisha bila furaha si kitu huwezi kufanya kitu bila furaha ndio maana hata mtume Paulo aliwahimiza watu wawe na furaha katika bwana ili waweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Binaadamu wote duniani duniani wananahitaji kua na furaha ili kuepuka mateso/maumivu, lakini ni watu wachache mno...
www.jamiiforums.com
The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu
Salute. August 17 mwaka 2018 niliweka mada humu ambayo inakichwa cha habari kisemacho “ https://www.jamiiforums.com/threads/watu-wanasema-mimi-ni-nani-swali-alilouliza-yesu-linalofungua-ubongo-wa-mwanadamu-kujitambua.1469399/post-27991776“. Lengo kuu la mada hiyo ilikua kumfanya mtu ajiulize...
www.jamiiforums.com