Medicine na pharmacy ipi inalipa zaidi?

Medicine na pharmacy ipi inalipa zaidi?

Kwa upande wangu ni medicine,maana ina uwanja mpana pia wa kujiajiri,coz huwezi kutajirika kwa kutegemea kuajiriwa tu
 
Dogo we soma kulipa analipa Mungu,,,, kuna ma engineer wanasota mitaani na kuna secretary wanaula kwa makatibu wa wakuu... na wengine masecretary UN ... soma unachopenda malipo mwachie aliekuumba
 
Kwa upande wangu ni medicine,maana ina uwanja mpana pia wa kujiajiri,coz huwezi kutajirika kwa kutegemea kuajiriwa tu
actually you got it twisted, pharmacy ndio rahisi kujiajiri na ina uwigo mkubwa zaidi huko mbeleni kuanzia business, botany, clinical, policies, pharmacy yenyewe etc.

Medicine ni nzuri kwa kuwa na sustainable and stable income kuliko pharmacy... ila kwenye kujiajiri bado ina changamoto nyingi zaidi
 
Nilifikiri ninachokiona kwenye Nigerian movies mgonjwa anapokataliwa kuhudumiwa mpaka malipo yafanywe kwanza ni maigizo tu, kumbe kwa mwenendo huu pengine hata Tanzania tutegemee hayo waziwazi, unapofika hospitali unaulizwa kwanza unazo pesa ngapi tuanze kukusikiliza? Actually nimeiona kwenye mahospitali tayari kwa aibuaibu, maana lazima ukate kadi kwa kiingilio ndo utamwona dokta ingawa serikali inatupigia makelele kwamba huduma bure hospitali za serikali. Kizazi cha nyoka kimeshazaliwa, tungojee kibaya zaidi hapo mbele kama hatujali.
 
Maslai muhimu sn siwez nkakomaa na madude magum alaf hakuna maslai.... NEVER
 
Mnadanganyana tu. Someni mambo ya maana yatakayokufanya ujulikane duniani.
Mmewahi sikia hao wanaosoma hizo medicine ni maarufu😂😂😂
 
Kwa ulimwengu wa sasa na Tanzania yetu ukifuata stori za kozi gani inalipa na ina maslahi unaweza kuja kujialaumu baadae . Soma kitu ambacho utakimudu, Una passion nacho na hautakuja kujutia baadae. Nashauri uusikilize moyo wako unataka nini baada ya hapo soma hicho kitu halafu namna ya kutengeneza pesa ni ubunifu wako tu na kuchangamkia fursa.
 
Kwa ulimwengu wa sasa na Tanzania yetu ukifuata stori za kozi gani inalipa na ina maslahi unaweza kuja kujialaumu baadae . Soma kitu ambacho utakimudu, Una passion nacho na hautakuja kujutia baadae. Nashauri uusikilize moyo wako unataka nini baada ya hapo soma hicho kitu halafu namna ya kutengeneza pesa ni ubunifu wako tu na kuchangamkia fursa.
Ni kweli kabisa.Tatizo hatuna uelewa huo.
 
Back
Top Bottom