Medical Students are not Creative than engineering students?

SODOKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,656
Reaction score
724
eti ni kweli medical students are not creative than engineering students ........


lakin napata mashaka kwani kuna maengineer wengine waliosoma miaka minne tena elimu ya chuo kikuu mechanical engineering lakin hawawezi kutrace tatizo dogo tu kwenye gari,,,yaaan namanisha

"There are some people who spent4 years in the university studying Mechanical engineering yet they won't be able to detect even the least fault in a car"


ebu twende kwenye conceptual analysis kwa mtazamo wangu mie naona maengieer wako vizuri na huko mbeleni kutatokea programme za ki IT zitakazowareplace madoctor japo ni baadae sana....

N.B huu ni mtazamamo tu mawazo masela msijenge chuki na mimi..haya ni mawazo tu,,,,,mengine yanakaribishwa jukwaani...

wale waliosoma masomo ya sanaa nawaomba nyie muwe mashabiki tu...huu uzi unawahusu kidogo mnaweza kutoa mchango wenu...
 

Attachments

  • jf.jpg
    4.8 KB · Views: 62
Kwa ufahamu wako mpaka sasa fault zote kwenye gari ni mechanical kwa kuzingatia magari mengi siku hizi yana lots of electrical na electronic components au systems ambazo zimekuwa integrated na mechanical systems. Halafu toa mfano ambao ni specific ili ueleweke unataka kusema nini.

Je, madaktari ndio hawakosei kufanya diagnosis ya magonjwa? Pale MOI mgonjwa wa kichwa kupasuliwa goti na wa goti kupasuliwa kichwa, je hii unaitazama vipi?
 


ukiachana na faults zinazokuwa detected by electronic method,,kuna zingine physically mechanical engineer hawez kutambua kwani anakuwa oriented kwenye madesa tu....I didn't say that engineering doesn't require intelligence lakin unaweza kuwa intelligent darasani lakini bado hata kufunga wiring ya ghorofa tatu unashindwa kuna jamaa kasoma COET alikutanishwa na madogo wa VETA akachemka kupandisha maji juu ya nyumba yenye floor ya nne maeneo ya Mbezi Africana...akatokea dogo tu wa mtaani yaan bei ya mkaa hajapita hata VETA katumia utundu tu wa kaka yake aliyesoma VETA akayapandisha ....

even though I agree that generally engineers may be slightly smarter than their medical counterparts and that plays a huge role in their innovative attitudes. lakin unaposema kuwa mtu anayemfanyia operesheni mgonjwa eti ni less intelligent kuliko mtu anayecheza na supana tu m,,mimi siwezi kukubalia hata kidogo
 
Hii tabia ya kulinganisha oranges na apples, na kutoa generalization kwa kutumia cherry picking style ni hatari kwenye kuzalisha knowledge yenye manufaa kwa jamii.
noo...we are trying to compare in real life situation..achana na maembe na machungwa kwa mfano doctor akifanya mistake in surgery anasababisha kifo......lakin engineer akifanya mistake kuna nafasi ya kurekebisha before release.
 
Hakuna logic hata nusu hapo MTU yoyote anaweza kua creative katika kazi yake haijalishi ni engineer au daktari

So kwa mchango wangu naona inategemeana na juhudi ya kutafuta maarifa na understanding capacity ya fani ya MTU...!
 
Uwii mtoa mada tatizo hana uelewa fani zote alizozileta hapa kwa mfano mechanical engineer siyo fundi lazima alijue hilo halafu ndo Tuendelee
 
Hakuna logic hata nusu hapo MTU yoyote anaweza kua creative katika kazi yake haijalishi ni engineer au daktari

So kwa mchango wangu naona inategemeana na juhudi ya kutafuta maarifa na understanding capacity ya fani ya MTU...!
unamanisha kuwa hata doctor akipewa kufundisha history form two anachemka???
 
Uwii mtoa mada tatizo hana uelewa fani zote alizozileta hapa kwa mfano mechanical engineer siyo fundi lazima alijue hilo halafu ndo Tuendelee
hapana....according to your explaination sijakuelewa,,kwann unasema mechanical engineer sio fundi ebu elezea kinagaubaga

sasa ndo unaanza kunifungua akili...kumbe Roadside mechanics and electricians aren't engineers, they are simply Technicians..ha haaaaa... yaaan ni matechnicians tu hakuna engneer apoo
 
After the completion of creation, God left the work of creation to engineers for them to continue with his work!
 

Kila mwanaadamu ni creative, haijalishi awe medical student au engineering student.
Tatizo kubwa linatoka katika mfumo wa elimu na kupandikiza tabia hizi za kuwa creative au kutokuwa creative.
Wanafunzi wengi(sio wote) wa medical wanaona kazi yao kutibu magonjwa yaliyopo tu na sio kufanya utafiti zaid wa kutafuta njia rahisi ya kuyatibu. Pia vile vile kwa wanafunzi engineering nao pia hakuna ubunifu.(mfumo wa Tanznia ni wa kukariri masomo hautupi mawazo ya kufkiri na kugundua zaid).
 
After the completion of creation, God left the work of creation to engineers for them to continue with his work!
Guy, you're so funny..........dont you know that medical students are semi God?????
 
Simaanish hivyo ila napinga dhana ya kudhani kua engineer is more creative than doctor or vice versa
Ucreative wa MTU ni juhudi yake kutafuta maarifa na understanding capacity
unaposema ivo unafeli kijana......definition ya creative person inasema hivi ''a person who grows or makes or invents things''......definition hii inabezi kwenye science tu ndo maana tunapata mtu anayeitwa creator...lakn kwenye social science hatunaga macreator ila tuna watu kama illustrators ambao kazi yao ipo kisanaa zaidi yaan illustrator is an artist who makes illustrations (for books or magazines or advertisements etc.)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…